Mengine yalioandikwa kuhusu Jose Mourinho na Man United
Bado headlines za kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal kutimuliwa na ndani ya Man United na nafasi yake kuchukuliwa na kocha wa zamani wa Chelsea Jose Mourinho…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 30 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Jipya kuhusu kifo cha Pamba Wemba, tazama huyu jamaa kwenye video
Taarifa ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea…
VIDEO: Hoja za mbunge Joseph Mbilinyi bungeni kuhusu mizigo kupungua bandarini na mengine
Bunge limeendelea tena April 29 2016 Dodoma ambapo miongoni mwa Wabunge waliochangia ni pamoja na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu mchango wake ukihusu bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais Tamisemi,…
Rufaa ya kupinga kuachiwa Zombe na wenzake imesikilizwa leo April 29 2016
Mahakama ya Rufaa imesikiliza rufaa ya kupinga kuachiwa huru kwa aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es salaam 'RCO' Kamishna Msaidizi wa Polisi 'ACP' Abdallah Zombe na askari…
PICHA 3: Kutoka Club Deportive Tenerife Hispania kwenye majaribio ya Farid Musa wa Azam FC
Winga mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na Azam FC Farid Musa yupo Hispania anaendelea na majaribio yake ya kutafuta nafasi ya kucheza soka la kulipwa, Farid ameendelea na majaribio yake Club…
Dubai kwenye mpango mpya utakaovunja rekodi ya dunia
Dubai ni mji ambao kwa sasa watanzania wengi wanaenda kwa ajili ya kufanya biashara mbalimbali, Dubai umekua kwa haraka zaidi kutokana na kuweka vizuri njia za ukusanyaji wa mapato na ni mfano ya…
Forbes wametaja vijana 30 wa Afrika wanaotarajiwa kuwa wafanyabiashara wakubwa, Mtanzania akiwemo
Forbes wametaja list ya vijana 30 wajasiriamali kutoka nchi tofauti tofauti za Afrika, vijana ambao wanatazamiwa kuja kuwa wafanyabiashara wakubwa kwa siku za usoni, list ya vijana hao 30 wanaotajwa…
List ya warembo kuwa single inaweza ikapungua, ikufikie hii taarifa kutoka kwa soudy Brown (+Audio)
Goodnews kwa warembo wengi ni pale mahari inapotolewa na kupata mtu wa kuishi naye, April 29 2016 Soudy Brown amekutana na taarifa ya staa huyu kutoka bongoflevani kuchumbiwa na mnigeria,…
GoodNEWS: kwa mashabiki wa Barnaba hii isikupite (+Audio)
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori zote za April 27 2016 ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na moja ya…