VIDEO: Gari lililozama Baharini Kivukoni Dar es salam April 20 2016….
April 20 2016 gari aina ya Toyota Hiace lililokuwa ndani ya Pantoni kuelekea Kigamboni Dar es salaam liliserereka na kuzama baharini ambapo inasadikiwa lilikuwa na watu wawili, uokoaji ulifanyika ambapo asubuhi…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 21 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
April 21 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 21 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VIDEO: Ni ndugu na familia ya Liyumba pekee ndio walioona mwili wake wakati wa kuuaga
Jumatano ya April 20 2016 ndio ilikuwa siku ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mkurugenzi wa utumishi wa benk Kuu ya Tanzania Amatus Joachim Liyumba, marehemu ameagwa kwa baadhi ya watu…
Usisahau kuwa kocha wa Genk kampa dakika 75 Samatta leo, ushindi wao huko hapa
Usiku wa April 20 2016 kocha wa KRC Genk Peter Maes kaendelea kumuamini na kumpa nafasi ya kuanza katika first eleven yake nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania anayeichezea klabu…
Vichwa 8 vya Habari kubwa kwenye TV za Tanzania April 20 2016
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na haukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya April 2o 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com inakupatia fursa ya…
Hasira za kuondolewa Klabu Bingwa Ulaya FC Barcelona kazihamishia kwa Deportivo (+Video)
Baada ya kupokea vipigo kutoka vilabu vya Valencia, Atletico Madrid, Real Sociedad na kuondolewa katika michuano ya klabu Bingwa Ulaya na klabu ya Atletico Madrid, FC Barcelona wamerudi tena dimbani…
Yanga wameshindwa kulipa kisasi cha 2014 cha kuifunga Al Ahly ya Misri, wamekubali kipigo hiki
Siku moja baada ya kutolewa kwa klabu ya Azam FC katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika na klabu ya Esperance ya Tunisia, macho ya watanzania April 20 2016…
VIDEO: ‘Lazima tuvuje jasho, hakuna namna nyingine’ Waziri Mpango kutoka bungeni
Vikao vya bunge la 11 vimeendelea tena leo April 20 2016 ambapo shughuli ya uwasilishaji wa bajeti kwa baadhi ya wizara umefanyika ikiwemo Wizara ya Fedha na Mipango ambapo Waziri mwenye…
PICHA 14: Alivyoagwa aliyekuwa Mkurugenzi wa utumishi BOT, marehemu Amatus Liyumba
April 18 2016 zilitolewa taarifa za msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa utumishi wa Benki Kuu Tanzania (BOT) Amatus Liyumba, Liyumba alifariki dunia Hospitali ya Aga Khan kutokana na maradhi ya…