Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 20 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 19 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
AUDIO: Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa uzinduzi wa daraja la Kigamboni
April 19 2016 ni siku ya uzinduzi wa Daraja la Kigamboni ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amelizindua rasmi daraja la Kigamboni na amependekeza liitwe jina…
Azam FC wameshindwa kuendelea na michuano ya CAF, baada ya kipigo hiki …
April 19 2016 wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Africa (CAF) klabu ya Azam FC ilishuka mjini Rades Tunisia kucheza mchezo wake wa marudiano wa Kombe…
Vichwa vitano vya Habari kwenye TV za Tanzania April 19, 2016…
Kama ukupata time ya kutazama Taarifa ya Habari April 19, 2016 millardayo.com inakupatia fursa ya kuvitazama vichwa vya habari vilivyosomwa kwenye TV za Tanzania. Kama ulimiss Rais Magufuli…
Cristiano Ronaldo anahamia PSG? kuna haya mapya yameandikwa leo April 19 2016
Headlines za staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kuhusishwa kutaka kuhama Real Madrid na kutaka kujiunga na klabu ya Paris Saint Germain…
Video: Yaliyotokea bungeni Dodoma leo April 19 2016
April 19 2016 Mkutano wa tatu wa Bunge la kumi na moja umeanza, na lengo lilikuwa ni ni kujadili na kupitisha bajeti ya Serikali. Katika baadhi ya sekta zilizojadiliwa ni…
PICHA 10: Taarifa rasmi za msiba wa aliyekuwa mkurugenzi wa utumishi BOT
Baada ya jana kuenea kwa taarifa za msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa utumishi wa Benki Kuu Tanzania (BOT) Amatus Liyumba na taarifa za kifo chake kuchelewa kutoka, leo April 19…
TRA wamekuja na hii ripoti kwa wanaoiba kazi za wasanii
Malalamiko ya siku nyingi ya wasanii wa kazi za tasnia ya muziki na filamu kuibiwa au kutumika isivyo kwa kazi zao na wao kutopata chochote kwenye kazi hizo yamesikiwa na…
Picha 25: Ilivyokuwa uzinduzi wa daraja la kigamboni Dar es Salaam
April 19 2016 ni siku ya uzinduzi wa Daraja la Kigamboni ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amelizindua rasmi daraja la Kigamboni na…
Dili jipya town kwa vijana wa Tanzania, msanii Natasha na Muhadhiri chuo kikuu wamo katika usimamizi
Kama utakuwa mtazamaji mzuri wa vipindi vya TV Tanzania basi utakuwa ushazoea kuona tamthilia za kiphilipino ambazo huwa zinaoneshwa katika vipindi vya TV stations mbalimbali Tanzania. April 19 2016 mashabiki…