NEWS: Dayna na Yemi Alade, Navy Kenzo kwenye dili jipya na mengine
Kama kawaida kila wiki Ayo Tv huwa inakuletea stori mbalimbali za mastaa wa Tanzania, wiki hii Ayo TV imefanikiwa kukuletea exclusive stori za Dayna na Yemi Alade na kuhusu Navy…
Usijikute tu umenunua gari kwa dalali Kariakoo…(+Video)
Leo April 15 2016 Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro amekaa kwenye Exclusive na Ayo TV kuelezea utapeli ambao unawapata watu wa Dar es salaam…
Video: Kinachoisubirisha sarafu ya Afrika Mashariki
April 15 2016 tumeshuhudia mwanachama mpya Sudan kusini akijiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki, ikiwa ni miaka kadhaa imepita tangu marais waliokuwepo kipindi hicho walisaini itifaki ya kutumia sarafu…
Picha 14: Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir alivyowasili Dar na kutia saini mkataba wa kujiunga na EAC
April 15 2016 Rais wa Sudan Kusin Salva Kiir amewasili nchini na kukutana na mwenyeji wake Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Salva Kiir ametia…
Picha 5: Aliyemtukana Rais magufuli facebook kafikishwa mahakamani leo
Kwa taarifa zaidi kuhusu kijana aliyemtukana Rais Magufuli facebook kufikishwa mahakamani, endelea kufuatilia millardayo.com na sikiliza Amplifaya ya Clouds FM saa 1 jioni. ULIKOSA KUMTAZAMA RAIS MAGUFULI ALIVYOTANGAZA KUTENGUA UKUU…
Yamenifikia majibu ya droo ya nusu fainali ya UEFA Europa League 2016
Najua tayari umepata majibu ya droo ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, ila UEFA wametoa tena majibu ya droo ya UEFA Europa league iliyokuwa inahusisha timu za Liverpool, Villarreal,…
Godzilla na Mwasiti wanayo furaha kukualika kuisikiliza hii single mpya…- ‘First Class’ (+Audio)
Ni siku kadhaa tangu rapper Godzilla aichie single yake iitwayo 'I Get High', sasa time hii anakualika kuisikiliza hii single mpya inayoitwa First Class aliyomshirikisha Mwasiti. Isikilize hapa https://www.youtube.com/watch?v=7BKZjOlAE4I&feature=youtu.be MANENO YA…
Kesi ya bomoabomoa yaendelea kupigwa kalenda, kwa leo hii ndio sababu
Bomoabomoa iliyoanza mwishoni mwa mwaka 2015 kwenye maeneo mbalimbali ya mabondeni ikiwemo kwa maeneo yaliyo kando na mto msimbazi ambapo zoezi hilo lilisitishwa baada ya wakazi wa Tabata Segerea kufungua…
Ukiniuliza ni movie gani ya kuitazama CINEMA leo Dar es salaam… + TRAILER nimekuwekea hapa
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend, sasa kama upo Dar es salaam movie zinazoonyeshwa kwenye big screen weekend hii na Trailers zake nimekuwekea hapa. The Jungle…
Droo ya nusu fainali ya UEFA 2016 imechezeshwa na majibu ni haya
Baada ya kumalizika kwa hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya na kushuhudia vilabu vya Atletico Madrid, Real Madrid, Man City na FC Bayern Munich vikifuzu…