VIDEO: Warembo wa Tanzania walivyojitokeza kuonyesha vipaji vya kuigiza kwenye Xballer
Ernest Napoleon ni mwigizaji kutokea Tanzania ambaye uwezo wake tayari ameshauonyesha kwenye movie ya Going Bongo ambayo ilizihusisha nchi mbili ambazo ni Marekani na Tanzania, sasa hivi anajiandaa kufanya movie…
PICHA 4: Roma Mkatoliki kafunga ndoa leo nyumbani kwao Tanga
Roma Mkatoliki ni msanii maarufu wa hiphop Tanzania ambaye kwenye upande wa pili wa maisha ameamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa longtime ambaye wana mtoto pamoja (Ivan) na April 9…
VideoMPYA: Maua Sama katuletea video ya hit single ‘mahaba niuwe’
Maua Sama ni miongoni mwa warembo wanaofanya vizuri bongoflevani Tanzania na hivi karibuni amekua kwenye Top10 ya Radio na single yake ya 'mahaba niue'ambayo hakuwa ameifanyia video, leo April 9 2016…
PICHA 2: Gardner G. Habash.. April 3 mkataba mpya CloudsFM , April 9 gari jipya !
Wiki hii habari ya town ni Mtangazaji hodari Gardner G. Habash kurejea kutangaza CloudsFM aliyoacha kuifanyia kazi December mwaka 2010 ambapo baada ya shangwe za kurejea kwake mjengoni, good news zimeendelea.…
Kama una ndoto za kusoma chuo nje, hii ni Top 20 ya vyuo vikuu vipya bora duniani 2016 (+Pichaz)
Kuna list kubwa ya watanzania ambao wapo nje ya nchi kwa ajili ya elimu ya juu pia nina watu wangu wa nguvu ambao wana ndoto hizo. April 8 2016, Forbes kupitia…
Idris Sultan kahojiwa Kenya kuhusu Wema Sepetu na ile video iliyosambaa.
Kumekua na stori zinaendelea mitandaoni na hasa ni baada ya Mwigizaji Wema Sepetu aliyekaa sana kwenye vichwa vya habari hivi karibuni kwa kuwa mapenzini na mshindi wa shindano la Big…
Full Time ya Yanga vs AlAhly uwanja wa taifa Dsm April 9 2016
Ni mechi nyingine kati ya mechi zilizotazamwa sana au zilizosubiriwa sana na mashabiki wa Tanzania ambapo Yanga walikutana na AlAhly kwenye muendelezo wa headlines za CAF, game ikapigwa uwanja wa…
Mtanzania kauwawa Marekani…. inaaminika muuaji kamshambulia ndani ya gari lake
Watanzania waishio Marekani juzi waliamka na habari zilizowashitua kuhusu kuuawa kwa mwenzao katika jiji la Houston Texas Marekani aitwae Henry Kiherile ambapo Polisi Marekani inaendelea kulichunguza tukio. Kitengo cha upelelezi wa mauaji idara ya Polisi Houston…
Ulikua mbali na TV? Full Time ya Westham vs Arsenal ninayo hapa
Ni game ambayo imechezwa mchana wa April 9 2016 na kama ulikua mbali na TV matokeo ndio kama ifuatavyo.... nimekuwekea hapa chini na Wafungaji. ULILIKOSA GOLI LA SAMATTA UBELGIJI JANA…
Rais Shein ametangaza Baraza la Mawaziri, wamo watatu wa upande wa upinzani
April 9 2016 Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein ametangaza Baraza la Mawaziri lenye Mawaziri 13 na Manaibu waziri 7 ambapo watatu wametoka upande wa upinzani…