AUDIO: Maelezo ya dakika 5 Mjomba aelezea dakika za mwisho kabla Ndanda Kosovo hajafariki
April 9 2016 zilitangazwa taarifa za kifo cha mwimbaji wa siku nyingi kwenye muziki wa dance Tanzania Ndanda Kosovo ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu hospitali ya Muhimbili Dar es salaam,…
MSIBA: Muziki wa dance Tanzania umepata msiba, R.I.P Ndanda Kosovo
Mkali wa muziki wa dansi aliyefanya vizuri akiwa na bendi ya FM Academia na Stono Musica, Ndanda Kosovo ambaye alikuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo ambapo alilazwa katika hospitali ya…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 9 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
April 9 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Usijidanganye kufanya ujambazi Dar, nimeipata hii leo…(+Video)
leo April 8 2016 Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam kupitia kwa KamishnaSimon Sirro, limetangaza kuwakamata majambazi 63 wa matukio ya unyang’anyi wa kutumia silaha katika oparesheni iliyofanyika…
KRC Genk ya Samatta imeibuka na ushindi wa 4-0 dhidi ya KV Oostende, hili ndio goli la Samatta (+Video)
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania ambaye pia ni nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta kuzidi kufanya vizuri zinazidi kuongezeka kila kukicha ndani ya Ligi Kuu Ubelgiji akiichezea klabu…
Kesi ya Kamishna wa zamani TRA, miss Tanzania imeendelea leo (+Video)
April 01 2016 Serikali iliwapandisha kizimbani kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ‘TRA’ Harry Kitilya, mshindi wa taji la Miss Tanzania 1996 ambaye pia alikuwa afisa mwandamizi wa benki…
Sserunkuma hakuwahi kuzungumza toka atemwe na Simba, haya ni mahojiano yake kutoka Kampala
Kama ni shabiki wa soka la Bongo najua jina la Simon Sserunkuma litakuwa sio geni masikioni mwako hususani kwa mashabiki wa Simba. Sserunkuma ambaye anacheza nafasi ya winga wa kulia…
Ujambazi Dar, 63 wamekamatwa na silaha zao ndani ya siku 7
leo April 8 2016 Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam kupitia kwa Kamishna Simon Sirro, limetangaza kuwakamata majambazi 63 wa matukio ya unyang'anyi wa kutumia silaha katika oparesheni…
Ukimuuliza Jose Mourinho atajiunga klabu gani mwisho wa msimu, tegemea jibu hili kutoka kwake
Siku kadhaa zimepita toka mtandao wa bleachereport.com uandike habari za Jose Mourinho kuomba uongozi wa Man United waingie makubaliano ya maandishi ya kumthibitishia kuwa watampa mkataba wa kuwa kocha wa…
VIDEO: Skendo ya wanajeshi wa JWTZ Congo, yazungumziwa na makao makuu
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) chini ya Umoja wa Mataifa limekuwa likitekeleza majukumu ya ulinzi wa amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa takribani miaka mitatu. Siku kadhaa…