Kesi ya Kamishna wa zamani TRA, miss Tanzania imeendelea leo (+Pichaz)
April 01 2016 Serikali iliwapandisha kizimbani kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania 'TRA' Harry Kitilya, mshindi wa taji la Miss Tanzania 1996 ambaye pia alikuwa afisa mwandamizi wa benki…
NEWS: Couple mpya town? Masogange na Rammy Galis.. Dudubaya kaongea kwanini alimuomba Shetta msamaha
AyoTV kila wiki itakua inakukutanisha na stori za mastaa mbalimbali wa Tanzania kukupa zile stori zote kubwa kutoka kwao ambapo time hii tunaye Dudubaya ambaye ameelezea kwanini alimuomba Shetta msamaha,…
Uko tayari kwa Billnass ? kaachia hii single mpya ‘Chafu Pozi’ isikilize hapa
Ni Mdundo mpya kutoka kwa msanii Billnass ambao ameupa jina la Chafu Pozi umetayarishwa na producer Mr T Touch. Isikilize hapa mtu wa nguvu kisha usisahau kuniandikia ya moyoni ili…
Picha14: Ushindi wa Mabula kwenye kesi ya kupinga matokeo leo Mahakamani Mwanza.
Leo April 8, 2016, Mahakama kuu kanda ya Mwanza imetangaza maamuzi ya kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge iliyofunguliwa na Ezekiel Wenje tangu 25.11.2015, aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana kutaka Mahakama…
Movie ya action nitayokushauri ukaitazame leo Cinema kama upo Dar es salaam
Unamkumbuka staa Barkhad Abdi aliyewahi kujichukulia umaarufu kwenye movie kadhaa ikiwemo ya Captain Phillips sasa time hii staa huyo kashiriki pia kwenye movie mpya iitwayo Eye in the Sky ambayo itaanza…
Skendo ya wanajeshi wa JWTZ Congo, yazungumziwa na makao makuu
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) chini ya Umoja wa Mataifa limekuwa likitekeleza majukumu ya ulinzi wa amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa takribani miaka mitatu. Siku…
Video 10 kali Afrika kutoka Trace TV wiki hii, East Africa ziko 4 tu April 7 2016…
Kama wewe ni mpenzi wa burudani utataka kujua ni nyimbo gani kali zinazofanya vizuri Africa, April 7 2016 Trace TV wametuletea list ya ngoma kumi kali kutoka Afrika kupitia chat zao…
Habari 5 kubwa kwenye TV za Tanzania April 7 2016
Kama hukupata time ya kutazama Taarifa ya Habari kupitia TV za Tanzania April 7 2016 millardayo.com inakupatia fursa ya kutazama habari 5 kubwa zilizosomwa kwenye TV za Tanzania. Habari kutoka Channel 10...Mazingira Duni Shule…
BREAKING: Maamuzi ya mwisho kwenye kesi ya Mabula na Wenje yametangazwa leo
Kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Jimbo la Nyamagana iliyofunguliwa na aliyekuwa mbunge wa Nyamagana Ezekiah Wenje (CHADEMA) dhidi ya Mbunge wa sasa wa Nyamagana Stanslaus Mabula (CCM) ilikuwa ikiendelea…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 8 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
April 8 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…