Jurgen Klopp hakufanikiwa kuondoka na ushindi Signal Iduna Park dhidi ya Dortmund (+Video)
Siku moja imepita toka michezo ya robo fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA ichezwe, usiku April 7 2016 michezo ya robo fainali ya Europa Ligi ambayo zamani…
Ni miaka minne toka kifo cha Kanumba, haya ni mahojiano na mama yake
Bado kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa msanii wa filamu za maigizo Tanzania Steven Charles Kanumba kipo akilini mwa watanzania wengi hususani familia yake ambayo kila ifikapo April 7 hufanya ibada…
Sasa hivi sio wewe kuwafata TANESCO wakuunganishie Umeme, ni wao ndio wanatakiwa kukufata
Awamu ya tano ya Rais Magufuli imeambatana na maamuzi mapya au yaliyoongezewa ubunifu na nguvu kubwa ya ufatiliaji ambapo kwenye wizara ya nishati boss Profesa Muhongo cheo chake kikiwa ni…
VIDEO: Rais Magufuli alivyotua Dar kwa ndege ya Rais akitokea Rwanda
President John Pombe Magufuli wa Tanzania alikwenda kwenye nchi ya Rwanda kwa ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016 ambapo alimaliza ziara yake na kurudi nyumbani Tanzania April 7…
Rais Magufuli kaeleza kwanini hapendi sana kusafiri nje ya nchi
Tunajua Rais Magufuli amekuwepo nchini Rwanda kwa ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016 mpaka April 7 jioni aliporudi Tanzania, kwenye moja ya maongezi yake mbele ya Wananchi wa…
CHADEMA imepata msiba, mbunge kafariki hospitali Dar es Salaam.
April 7 2016 ni siku ambayo jina la mbunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu liligonga headlines kwa kasi kutokana na taarifa za kifo chake kuenea mitandaoni,…
Kifo cha Kanumba kilivyokumbukwa leo April 07 2016 (Pichaz)
April 7 2012 tasnia ya filamu Tanzania ilimpoteza Steven Kanumba ambaye jina lake tayari lilikuwa limeanza kupenya katika nchi mbalimbali kutokana na uzuri wa kazi zake. Leo Alhamisi ya April…
Picha 23: Treni 11 za kifahari zaidi duniani, moja ilishawahi kuja Tanzania
Kuna baadhi ya watu wangu wa nguvu ambao wanapenda kusafiri kwa aina fulani ya vyombo vya usafiri kwa ajili ya mapumziko na kutalii sehemu mbalimbali, April 7 2016 kupitia tovuti…
Aneth David… msomi wa Chuo kikuu Dsm Tanzania aliyeshinda tuzo ya Mwanasayansi Afrika
Tanzania imepata headlines nyingine baada ya kupata mshindi msomi kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Aneth David ambaye pamoja na Waafrika wengine, wameshinda tuzo ya Mwanasayansi mkubwa ajaye duniani…
Uliikosa Hotuba ya kwanza ya Rais Magufuli nje ya nchi? kuna dakika 7 hapa
Ni hotuba ya ziara yake ya kwanza nje ya nchi toka Rais Magufuli ateuliwe kuwa Rais wa Tanzania October 2015, aliyaongea haya kwenye ufunguzi wa daraja la kimataifa mpakani mwa…