Kingine kilicho-trend leo ni hii picha ya Davido na Wizkid pamoja
Picha za Davido na Wizkid wakiwa pamoja sio picha zinazotokea au kupigwa kila siku, kumbuka wawili kuwa na beef ambapo mwaka mmoja uliopita Davido alinukuliwa akisema 'Wizkid hanipendi... toka nimeanza…
Utatamani kujua maamuzi yaliyotangazwa leo Mahakamani kwenye ile kesi ya Mrema na Mbatia
Nani mbunge halali wa Vunjo? kumbuka baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2015 James Mbatia alitangazwa mshindi wa jimbo la Vunjo ambalo lilikua chini ya Mrema kipindi kilichopita, baada ya huo…
VIDEO: Kama uliyakosa magoli ya Yanga vs Kagera Sugar April 3 2016 Full Time 3-1 ninayo hapa
April 3 2016 Yanga walikuwa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kucheza dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/2016,…
Utatamani kujua ilichosema serikali ya Tanzania kuhusu taarifa za Wahisani kujitoa kuisaidia Tanzania
Baada ya headlines kadhaa za hivi karibuni kwa Wahisani wa Marekani na ulaya kuripotiwa kwamba wamejitoa kuisaidia Tanzania baada ya uchaguzi wa Zanzibar kufanyika wakati kukiwa na malalamiko, serikali ya…
CONFIRMED: Huyu ndio kocha mpya wa Chelsea atakayejiunga na timu mwisho wa msimu 2015/2016
Baada ya klabu ya Chelsea ya Uingereza kumfukuza aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho miezi kadhaa iliyopita na nafasi yake kuchukuliwa na kocha wa muda Guus Hiddink, April 4 uongozi…
Kazi ya TRA kukusanya kodi inaendelea…. Pesa walizokusanya kwa March 2016 zimetangazwa.
Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Magufuli ilianza kwa ajenda kubwa ya kupunguza matumizi ya serikali na kuongeza ukusanyaji wa mapato ambapo iliipangia Mamlaka ya Mapato Tanzania 'TRA'…
BREAKING: Unakumbuka alichokifanya Rais Magufuli sherehe za Uhuru? leo katangaza kingine
Miongoni mwa vitu vikubwa vilivyomuweka kwenye headlines Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli toka aingie madarakani ni pamoja na kutangaza kusitisha shamrashamra za sherehe za…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 4 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
April 4 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Usisahau kuwa Yanga imecheza leo dhidi ya Kagera Sugar, matokeo ninayo hapa
Michezo ya viporo ya Ligi Kuu soka Tanzania bara imepigwa leo kwa vilabu vya Azam FC na Yanga kucheza michezo yao ambayo awali ilikuwa imehairishwa kutokana na kuingiliana na michezo…
Watu wamefungiwa soka maisha leo na TFF ( Full story )
Kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania TFF kupitia kwa makamu mwenyekiti wake Jerome Msemwa, April 3 imetoa tamko kuhusu zile tuhuma za upangaji wa matokeo kwa mechi za Ligi…