PICHA 9: Raila Odinga apaa na Helikopta kutoka Kenya mpaka Chato nyumbani kwa Rais Magufuli
Raila Odinga baada ya kufika Chato alisema 'mimi na familia yangu tupo likizo na tumekuja kumtembelea rafiki wa familia yetu, nimekuja kupumzika na mke wangu na mtoto wangu wa kike,…
Ronaldo kasherekea ushindi dhidi ya FC Barcelona akiwa na nguo ya ndani tu !!! (+Pichaz&Video)
Baada ya uwepo wa tambo za mashabiki wa soka wa pande za Real Madrid na FC Barcelona kwa zaidi ya wiki moja kuhusu mchezo wa marudiano wa EL Clasico, usiku…
PICHA 5: Mchezaji yeyote akijiunga na KRC Genk anapewa Benz, Mbwana Samatta je? (+Pichaz)
Mastaa wa soka Ulaya kutembelea magari ya kifahari sio ishu mpya sana na unaambiwa asilimia kubwa ya club za soka Ulaya huwa wana mikataba na kampuni za magari kama ilivyo kwa KRC Genk…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 2 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
April 2 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VideoMPYA: Baada ya ‘work’ Rihanna katuletea hii nyingine mpya ‘kiss it better’ na kacheza mwenyewe tu
Ipokee na hii 'kiss it better' video mpya ya Rihanna ambaye February 20 2016 alitimiza umri wa miaka 28, single yake ambayo imelia sana masikioni na imepita sana kwenye TV…
FILAMU: Tazama dakika 25 za movie mpya ya Tajiri Mfupi aliyemzimia Mrembo Batuli
Ndani kaigiza Ray 'Vicent Kigosi' Batuli na wengine akiwemo Tajiri Mfupi mwenyewe ambaye anakabidhiwa kampuni kubwa yenye pesa na wakati huohuo anavutiwa kimapenzi na mrembo Batuli, muuza vitenge majumbani kwa…
VideoMPYA: Mh. Temba anayofuraha kukuonyesha video yake mpya, ndani kacheza na mrembo Nelly Kamwelu
Usichukue muda kujiuliza mara yako ya mwisho kutazama video mpya ya Mh. Temba ilikua lini? right now yuko kwenye spika zetu na hii single inaitwa 'fundi' na ukishatazama usisahau kuniachia comment…
TRACE TV imesema hizi ndio video 10 bora za Afrika kwa wiki hii, zenye Watanzania ni 4!
Headlines za Tanzania zinazidi kuwa nyingi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho Wasanii wengi wamekua wakililia au kutamani video zao zionyeshwe hapo kutokana na ukubwa wa Station hiyo na…
Hatimae Rais Magufuli ataja kiwango cha pesa anacholipwa kama mshahara wa Rais Tanzania
Baada ya baadhi ya Wabunge wa vyama vya upinzani Tanzania kumtaka Rais Magufuli kuanika hadharani mshahara wake pamoja na makato ya kodi, President Magufuli ambaye ni Rais wa awamu ya tano…
Kamishna Mkuu wa zamani TRA Mahakamani na wengine Wawili
Mwaka 2012-2013 Serikali ya Tanzania ilikopa Dola za kimarekani milioni 600 (zaidi ya bilioni 13) kutoka benki ya Standard ya Uingereza kwa ajili ya miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa makubaliano…