Maamuzi mengine leo kutoka kwa Waziri wa Magufuli
March 23 2016 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imekutana na Baraza la Wazee wa Dar es salaam na kusikiliza changamoto zinazowakabili katika jamii. Katika kutatua changamoto…
Picha 9 kutokea katikati ya jiji la Dar baada ya mvua kunyesha leo March 23
Najua kuna watu wangu wanapenda kufuatilia muonekano wa miji na majiji mbalimbali ndani na nje ya Tanzania, na kazi yangu ikiwa ni kuhakikisha nakamilisha hitaji hilo, leo nakusogezea hizi picha…
Chama hiki kimeguswa na Tuhuma za Rushwa kwa Kamati za Kudumu za Bunge
March 22 2016 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai alifanya mabadiliko ya baadhi ya wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge, huku akiwaondoa wenyeviti na…
EXCLUSIVE: Babu Tale kampeleka Chidi Benz Rehab… yafuatayo ni mambo ya kufahamu kutoka kwake
Babu Tale ni meneja wa kundi la Tiptop Connection na pia ni meneja wa Diamond Platnumz ambapo stori kubwa iliyomuweka kwenye headlines kuanzia March 21 2016 ni uamuzi wake wa…
Haji Manara katoka TFF anaelekea kwa waziri Nape, kisa Yanga na Azam FC
Klabu ya soka ya Simba March 23 kupitia kwa mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu yao Haji Manara wamethibitisha kukabidhi barua yao ya malalamiko kwa shirikisho la…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 23 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Kauli ya kwanza ya Suarez, baada ya kumaliza adhabu ya kumg’ata Chiellini na kujiunga na Uruguay
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uruguay ambaye anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania Luis Suarez amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu yake na kujiunga na kikosi cha timu…
Mwanzo mwisho Meya mpya wa Dar alivyopatikana March 22 2016… (+Video)
March 22 umefanyika Uchaguzi wa kumtafuta Meya wa Jiji la Dar es salaam, ikiwa ni baada ya uchaguzi huo wa kuahirishwa zaidi ya mbili. Uchaguzi huo wa Meya umefanyika kwa…
CCM Zanzibar mbele ya waandishi wa habari March 22 2016 (+Video)
Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar kimezungumza kuhusiana na askari kuendelea kutanda maeneo mbalimbali visiwani Zanzibar kulinda na kufanya doria, licha ya kuwa uchaguzi umemalizika. Mkuu wa itikadi na uenezi wa CCM…
Alichoandika Dogo Janja baada ya kuona maneno ya Instagram ya Young Dee kuhusu Babu Tale na Chid Benz
Headlines za mkali wa Hip Hop, Chid Benz bado hazikwisha kwenye mitandao ambapo leo March 22, 2016 Dogo Janja alipost kile ambacho hakupendezwa baada ya kuona maneo ya instagram ya…