Daz Baba ‘sijapotea… nimeona wanaoniandika kuhusu kuvuta unga’ (+Video)
Daz Baba ni miongoni mwa wasanii ambao majina yao yalitajwa sana kwenye Top10 za Radio miaka kadhaa iliyopita akiwa na hit single kama 'wife' na Ngwea, amekaa kwenye Exclusive na…
EXCLUSIVE: Dogo Janja kuhusu rafiki zake kuuwawa na wengine kufungwa jela
Dogo Janja ni msanii wa bongofleva ambaye alikaa kwa ukimya wa miaka zaidi ya mitatu bila kufanya muziki lakini sasa amerudi, alikaa kwenye OnAIR with Millard Ayo na kuongelea ishu…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 22 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 22 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Eti hii ndio itakuwa mechi yake ya kwanza Pep Guardiola atakapojiunga na Man City
Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye kwa sasa anaifundisha klabu ya FC Bayern Munich akimalizia mkataba wake, kabla ya kujiunga na Man City mwishoni mwa…
Dyna Nyange kaeleza alivyojibiwa na Alikiba, baada ya kuomba collabo mara mbili (+Video)
Mrembo kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva Tanzania Dyna Nyange amefunguka katika exclusive na Ayo TV kuhusiana na alivyopata wakati mgumu kupata Collabo na mkali wa Bongo Fleva Alikiba.…
EXCLUSIVE: Harmonize hatoyasahau haya ya South Africa, Huddah na mengine
Harmonize ni msanii wa kwanza kusainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz (WCB) ambapo amedrop single ya pili (bado) baada ya ile ya kwanza Aiyola, video ya 'bado' aliifanyia South Africa…
Zigo Remix ya AY ft Diamond Platnumz ipo kwenye Top 10 na ngoma kali za Dunia za kituo kikubwa cha TV
Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya Tv kufanya Chat ya ngoma 10 kali za muziki duniani, ila huwa ni faraja kuona ngoma ya msanii kutoka ukanda unaotokea kuona anafanya vizuri…
Polisi na majambazi wamerushiana risasi leo, watatu wamefariki…(+Video)
Taarifa iliyonifikia Leo March 21 2016 kutoka kwa Kamanda wa Polisi Kanda maalum Dar es salaam Simon Sirro ni hili tukio la majambazi watatu kuuawa katika eneo la Masaki mwisho…
Mwandishi aliyetekwa Zanzibar kaongea kwa mara ya kwanza baada ya kupatikana (+Video)
Habari za kutekwa kwa mwandishi wa habari wa idhaa ya kiswahili ya DW ya Ujerumani Salma Said visiwani Zanzibar zilizidi kuenea katika kila kona huku kila mmoja akiwa hajui alipo…
Uko tayari kwa Izzo Bizness ? kaachia hii single mpya ‘Usijiovadoze’ feat Barnaba, Shaa isikilize hapa
Rapper kutokea Mbeya City, Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness time hii ametusogezea hii single mpya iitwayo Usijiovadoze ambayo amewashirikisha Barnaba na Shaa. Unaweza ukabonyeza play kuisikiliza hiyo single mpya hapa chini…