Eti kama hili likiendelea, Arsene Wenger atajiuzulu kuendelea kuifundisha Arsenal
Bado headlines za makocha wa vilabu vya Ligi Kuu Uingereza zinazidi kushika kasi katika vyombo vya habari vya Uingereza, kocha wa Man United Louis van Gaal na aliyekuwa kocha wa Chelsea…
VIDEO: Jingine jipya la gesi iliyogunduliwa Bonde la Ruvu mkoa wa Pwani
Siku kadhaa zilizopita Serikali ilikuja na habari mpya kuwa gesi imegunduliwa katika bonde la Ruvu mkoani Pwani. Leo March 15 2016 Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo ametoa tamko rasmi kwamba gesi…
Harusi mbili za mashabiki wa soka duniani ambazo zipo kwenye kumbukumbu za kipekee
Mashabiki wa soka ni watu ambao hupenda kufanya vitu kwa ajili ya mapenzi na timu au wachezaji wao, mtu wangu wa nguvu, nimekutana na harusi mbili ambazo huenda zikawa zinashangaza…
Polisi wamezungumzia bomu lililorushwa kwenye nyumba ya Kamishna wa jeshi la polisi Zanzibar
March 15 2016 kituo cha ITV kiliripoti taarifa kutoka visiwani Zanzibar ambapo ilidaiwa kuwa na taarifa za watu wasiojulikana kurusha bomu nyumbani kwa Kamishna wa jeshi la polisi Visiwani Zanzibar eneo…
Ni kweli Bob junior alikamatwa na kushikiliwa na Polisi kwa zaidi ya saa 20 Magomeni, ( stori kamili ninayo hapa)
Ni headlines zilizochukua nafasi kubwa katika mitandao mbalimbali kuhusiana na msanii Bob Junior kukamatwa na jeshi la polisi, kilichotokea ni kweli kwamba Bob Junior alikamatwa na Polisi na kushikiliwa kwa…
Mfahamu Manager mpya wa AY…255(+Audio)
March 15 2016 kupitia 255 ya clouds FM zipo stori ambazo zimepata airtime, millardayo.com inakupatia stori zote ambazo zimepata airtime, stori moja wapo ambayo imepata airtime ni pamoja na AY…
Ni kweli Rais Magufuli kawapunguzia Ulinzi wastaafu Jakaya Kikwete na Mkapa? ninayo hii kutoka IKULU
Kwenye Gazeti la JamboLEO, toleo namba 2381 la tarehe 15 March 2016 limechapisha taarifa yenye kichwa cha habari kisemacho "Magufuli awapunguzia ulinzi marais wastaafu" Taarifa yake kamili ipo katika ukurasa wa nne…
Exclusive: Chege na kilichotokea alivyokutana na Juma Nature, Sweety Sweety na waliogombana South Africa
Chege ambaye ni staa wa single number 1 CloudsFM Top20 March 13 2016 alikaa kwenye OnAIRwithMillardAyo na kueleza mambo kadhaa ambayo Watanzania hawakuwa wameyasikia kutoka kwake, kaongelea BEEF ambayo wengi waliamini iko kati…
Watu wasiojulikana wamerusha bomu nyumbani kwa Mkuu wa Polisi Zanzibar…
March 15 2016 kituo cha ITV kimeripoti taarifa kutoka visiwani Zanzibar ambapo inadaiwa kuwa na taarifa za watu wasiojulikana kurusha bomu nyumbani kwa Mkuu wa Polisi Visiwani Zanzibar eneo la…
Nyingine mpya kutoka kwa Tinashe ‘Bullet’ imenifikia iko hapa..(+Audio)
Baada ya kuendelea kukaa kwenye headlines nchini Marekani na single yake iitwayo Player aliyomshirikisha Chris Brown hii ni mpya kutoka kwa mrembo Tinashe Bullet. chini ya maproducer Metro Boomin na Mike…