Muendelezo wa Hekaheka ya March 14 kutoka Tanga…(Hekaheka +Audio)
March 14 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM, kulitokea hekaheka kutoka Mji wa Tanga hii ni baada ya ndugu kuchanganya Maiti katika Hospitali ya Bombo, Tanga, sasa leo Geah Habib amefika Tanga…
Baraka Da Prince kaeleza sababu iliyopelekea kutofanyika kwa collabo mbili ikiwemo ya staa wa nigeria
Najua nina watu wangu ambao mnafuatilia muziki wa Baraka Da Prince kama unakumbuka mwaka jana aliwahi kufunguka kwenye vyombo mbalimbali kuhusu kufanya collabo na staa Eddy Kenzo wa Uganda na…
Mabibi na Mabwana Ben Pol katuletea hii official remix ya Nitafanyaje akiwa amemshirikisha mnigeria
Mwimbaji staa wa bongofleva Ben Pol anazimiliki headlines za Tanzania kwa kutoa official remix ya wimbo wake NITAFANYAJE ambao amewashirikisha VJ Adam kutoka Nigeria na G nako Isikilize hapa mtu…
PICHA 15 kutokea Ikulu Dar, Rais Magufuli kawaambia wakuu wapya wa Mikoa wajiandae kuwajibishwa wasipowajibika
March 13 2016, Rais John Pombe Magufuli aliwateua wakuu wapya wa Mikoa 26 Tanzania bara, ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwakatika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa vituo…
Waziri Muhongo kaelezea kuhusiana na Gesi iliyopatikana Ruvu
Kugundulika kwa gesi nchini kumezidi kuchukua headlines, Mnamo February 24 Serikali ilikuja na habari mpya kuwa gesi imegunduliwa katika bonde la Ruvu mkoani Pwani. Leo March 15 2016 Waziri wa…
Bumbuli ina miti hii ambayo Mizizi yake inaota kwenda Juu kama Ukuta..
Vipo vitu ambavyo ukivisikia unakua na maswali mengi sana kichwani,katika vitu ambavyo nimekutana navyo ni pamoja na hii ya Mizizi kuota kuelekea juu kama ukuta sio chini tena kama ambavyo…
Habari 10 kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania March 15 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu yaTwitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini https://twitter.com/millardayo/status/709602224884809728 https://twitter.com/millardayo/status/709603225360588800 https://twitter.com/millardayo/status/709605350325010432 https://twitter.com/millardayo/status/709612587663683584…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 15 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 15 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Sentensi za Diamond Platnumz kuhusu utambulisho wa msanii mpya kutoka WCB
Baada ya label ya WCB kumsaini mkali wa hit single ya Bado 'Harmonize' na kuendelea kufanya vizuri kwenye soko la muziki wa Tanzania. Sasa good news nyingine iliyotolewa na staa…
Jibu la Donald Ngoma kwa nini alitoa machozi kabla ya mchezo wa APR March 12 (+Video)
March 12 klabu ya Dar Es Salaam Young Africans ilikuwa Kigali Rwanda kucheza mchezo wake wa kwanza wa raundi ya pili ya michuano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya APR…