Headlines za Staa Wema Sepetu kuwa na mpenzi mpya Mcongo, kayaandika haya….
Tangu mwaka 2016 uanze miongoni mwa story zilizochukua headlines kwenye mitandao mbalimbali ni hii inayomuhusu mwigizaji staa wa Tanzania, Wema Sepetu kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Mcongo. Sasa leo…
VIDEO: EXCLUSIVE: Paul Makonda kaongea nini baada ya kupewa Ukuu wa Mkoa Dar?
Headline zilizoongoza kwenye magazeti ya Tanzania March 14 2016 ni kuhusu uteuzi wa wakuu wa mikoa nchini, miongoni mwa waliozikamata zaidi headline hizo ni aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Kinondoni…
VideoFUPI: Wanasema ukiwa Muongo uwe na kumbukumbu zote kichwani..
Ni kweli ukiwa muongo unatakiwa kuwa na kumbukumbu sana, nimekutana na hii video ya kichekesho ambacho Mrembo mwenye kupenda pesa kaongezea cha juu baada ya kuambiwa na boyfriend wake achukue…
Kutoka Ikulu DSM: Rais Magufuli leo kamalizana na Bwana Javier Rielo
Makamu wa Rais wa Kampuni ya Total Afrika Mashariki Javier Rielo amemuhakikishia Rais wa Magufuli kuwa kampuni hiyo itaanza ujenzi wa mradi wa bomba la kusafirisha Mafuta kutoka Uganda hadi bandari…
VIDEO: Ajali ya basi la Leina Tours iliua… dakika 15 kabla ya kushusha abiria Ubungo
Ni ajali ambayo ilitokea dakika 15 tu kabla ya basi hili kufikisha abiria kwenye kituo cha basi Ubungo Dar es salaam likitokea Kahama Shinyanga ambapo waliojeruhiwa kwa wakati huo walikua…
Pamoja na ukali wake, lakini Tunda Man ameshamuweka Juma Kaseja benchi (Full detail ninazo hapa)
Kama wewe ni mpenzi wa burudani basi millardayo.com inakusogezea stori zote ambazo zimepata airtime kwenye 255 ya Clouds FM March 14 2016 moja wapo ya stori ambazo zimepata airtime leo…
Makosa ya Mochwari Tanga yaifikia #Hekaheka (+Audio)
March 14 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM, Geah Habib ametuletea Hekaheka iliyotokea Tanga hii ni baada ya ndugu kuchanganya Maiti katika Hospitali ya Bombo, Tanga, wakwanza kuchukua mwili wa…
Picha 13 za Mahakamani kwenye Kesi ya Wenje na Mabula, kupinga matokeo ya Ubunge Nyamagana Mwanza…
Ripoti kutokea 88.1 Mwanza muda huu ni hii ya Mbunge wa zamani Ezekia Wenje jimbo la Nyamagana na Mbunge wa sasa Stanslaus Mabula kwenye kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi…
VideoMPYA: ‘My Life’ ya Dogo Janja imeachiwa tayari, itazame hapa
Baada ya kimya cha muda mrefu Dogo Janja kutoka Tip Top Connection 2016 aliachia hit single yake ya 'My Life', ngoma hiyo Dogo Janja amebadili ni tofauti na tulivyomzoea katika…
Ukweli kuhusu ajali ya gari iliyoua Watu 2 na kujeruhi 16 Dar, usiku wa jana…
Moja ya stori zilizochukua headline usiku wa March 13 2016 ni pamoja na hii ya ajali ya basi la Leina Tours lililoanguka maeneo ya Kimara Bucha, Dar es salaam na taarifa…