Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti March 1 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
Uchambuzi wa magazeti March 1 2016 kwenye Power Breakfast ya Clouds FM habari kubwa leo ni pamoja na hii, Majaliwa amtumbua Daktari jipu kwa shilingi laki moja, atoa maagizo mazito…
Majambazi wameuawa Arusha, maneno 14 waliyomuandikia kamanda Kova yakutwa kwenye karatasi
Jeshi la Polisi Arusha limewaua majambazi watatu waliokuwa wakihusika na matukio ya wizi ambapo lilipovamia kwenye makazi yao, lilikuta milipuko ya mabomu, bunduki, mavazi ya jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) pamoja na ujumbe…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 1 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo
March 1 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Waziri Mkuu Majaliwa kamsimamisha kazi Daktari kwa kuomba rushwa ya Laki moja …(+Audio)
February 29 2016 stori kutokea Mtwara, ilikuwa ni hii ishu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kumsimamisha kazi mmoja wa Madaktari wa hospitali ya Rufaa ya Wilaya mkoani hapo. Daktari huyo…
VIDEO: Halima Mdee alazwa Rumande, Wakili wake kaongea
February 29 2016 Jeshi la Polisi Dar es salaam linamshikilia Mbunge wa Kawe Halima Mdee kwa tuhuma za kufanya shambulizi la kumpiga mtu, tukio linalodaiwa kutokea siku ya February 27 wakati…
Watu 258 wamefariki kwa ugonjwa wa Kipindupindu Tanzania
Leo February 29 2016 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Hamisi Kigwangalla ametoa ripoti ya Ugonjwa wa Kipindupindu kwa wiki ya mwisho ya mwezi february…
Vichwa 10 vya Habari kwenye TV za Tanzania Feb 29 2016
Kama ukupata time ya kutazama Taarifa ya Habari February 29 2016 millardayo.com inakupatia fursa ya kuvitazama vichwa vya habari vilivyosomwa kwenye TV za Tanzania. Habari kutoka Channel 10...Rushwa Hospitali Ya…
Simba imemsimamisha kazi nahodha wake msaidizi, atalipwa nusu mshahara (+Video)
February 29 uongozi wa klabu ya Simba kupitia kwa mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu hiyo Haji Manara wametangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana nahodha msaidizi wa timu…
Top 10 ya habari kubwa za AMPLIFAYA February 29 2016
Amplifaya ni show ya Radio ambayo husikika Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja jioni on CloudsFM ikizirusha habari kumi kubwa za siku ambazo ni mchanganyiko wa burudani, michezo, siasa, muziki…
Halima Mdee na wenzake wafikishwa Polisi kwa tuhuma za kumshambulia mtu
Jeshi la Polisi Dar es salaam linawahoji baadhi ya wanasiasa kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), pia yupo Mbunge wa Kawe Halima Mdee kwa tuhuma za kuhusika na vurugu…