Staa wa tennis duniani kwenye fainali za Austalian Open…
Novak Djokovic amefuzu kucheza fainali ya mashindano ya tenisi ya Australian Open kwa mara ya sita baada ya kumfunga Roger Federer. Mchezaji huyo anayeshika nafasi ya kwanza kwa ubora duniani…
Kabla ya kufanya muziki Alikiba alikuwa wapi? mkono wa Nahreel umegusa Nigeria?.. mengine? (+Audio)
Mkali ya fleva za dancehall toka Bongo TZ, Chibwa Man amesema watu wake wanahitaji kumsogeza kwenye level za kimataifa, so kwa sasa mpango unaofatia unaweza kuwa ni kubadili lugha ili…
Mambo matatu kutoka kwa Rais wa TFF leo, ruhusa ya Azam FC kwenda Zambia, Yanga kutofanya uchaguzi na msiba wa kiongozi …
January 28 Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF Jamal Malinzi alifanya mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya shirikisho hilo na kutangaza msiba wa aliyekuwa mjumbe…
Mwendelezo wa Hekaheka ya mwanamke aliyekutwa shimoni wakahisi msukule Dar.. (+Audio)
Hii Hekaheka imeanza tangu mwanzo wa wiki, stori ilianzia kwenye picha za mitandaoni kuhusu mwanamke mmoja aliyekutwa shimoni watu wakahisi msukule, Polisi wakaingilia kati baadae mwanamke huyo akapotea mazingira ya…
Dau lililompeleka kiungo huyu wa Tottenham kuichezea Newcastle…
Klabu ya soka Newcastle United imemsajili kiungo wa kimataifa wa Uingereza Andros Townsend kwa dau la pauni milioni 12 akitokea Tottenham Hotspur. Townsend mwenye umri wa miaka 24 amesaini mkataba…
Hii ndio faini iliyotolewa na mahakama Brazil kwa Neymar na baba yake…
Staa wa Barcelona Neymar Jr pamoja na baba yake wameamriwa na mahakama huko Brazil kulipa kiasi cha Euro 100,000 zaidi ya milioni 200 za Kitanzania kama faini baada ya kushindwa…
Zilizonifikia kutoka Bungeni Dodoma na ajali ya kivuko Kilombero.. (+Picha)
Ninazo update mbili mpaka sasahivi mtu wangu, kwanza ni kutoka kwenye kikao cha Bunge Dodoma na nyingine kuhusu ajali ya kivuko kilichozama mto Kilombero. Kutoka Dodoma >> Baadhi ya Wabunge…
Jina la Lowassa Bungeni, Kesi ya Gwajima, kesi ya Makontena, Mvua..Magazetini
MWANANCHI Jina la Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa limeibuka bungeni baada ya mbunge mmoja kuiuliza Serikali kuwa haioni haja ya kubadili sheria ili viongozi wa zamani wa kitaifa wasipewe…
Uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini >> ya Bungeni Dodoma? aliyezikwa na mali za wizi? Z’bar.. (Audio)
Vurugu zaibuka Bungeni baada ya Serikali kutangaza kusitisha matangazo ya Bunge live kupitia TBC, kushuka kwa bei ya mafuta kumesababisha kushuka kwa shughuli za utafiti wa nishati hiyo Mtwara, watu…
Haya ndio maamuzi ya Kanye West kuhusu beef ya Tyga na Drake
Ni muda mrefu umepita tangu beef ya mastaa wawili kutoka pande za Marekani Drake na Tyga ziingie kwenye headlines, Drake na Tyga beef kati yao ilijulikana mwaka 2014 baada ya…