Uchambuzi wa stori kubwa magazetini >> ya Bungeni Dom? bomoabomoa? waliotumbuliwa NIDA?
Mbunge Andrew Chenge achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bunge, mwili wa kijana mmoja wazuiwa siku 27 India baada ya ndugu kushindwa kulipia gharama za matibabu yake, siri ya waliotumbuliwa Mamlaka ya…
Hadi kufikia August 2014, hii ndio ilikuwa TOP 10 ya style mbaya za nywele kwa mastaa wa soka …
Mtu wangu wa nguvu najua imekuwa kawaida kwa kila staa kuweka style ya nywele katika muonekano tofauti tofauti, hususani katika muonekano ambao sio wa kawaida, yaani haujazoeleka machoni mwa watu.…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 27 2016 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
January 27 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Hii ndio post ya Alikiba iliyomfanya Wema kupata pongezi za kuhisiwa mjamzito (+Picha)…
Stori zote kubwa mtu wangu wa nguvu unaweza kuzipata hapa hapa kwenye millardayo.com iwe usiku au mchana, lakini post za mitandao ya kijamii zenye uzito pia huwa nazisogeza kwako mtu…
Post ya mtoto wa Sugu iliyoingia kwenye headlines na kupata comment nyingi instagram
Mtu wangu wa nguvu katika mitandao ya kijamii kumekuwa kukifanya watu kuingia katika headlines kila kukicha kwa baadhi ya mastaa. Instagram ndio mtandao wa kijamii ambao huenda ukawa unaongoza kwa…
Hawa ndio Watanzania waliokimbiza kwenye ngoma kali za Africa kupitia Trace Tv wiki hii..
Tayari nimezikusanya ngoma kali 10 za Africa zilizotambulishwa kama Africa Fresh kupitia kituo cha Tv cha Urafansa TRACE TV leo Jan 26 2016, katika chart hii ni Watanzania wawili pekee…
Baada ya kutemwa na kocha wa Spurs hii ndio klabu aliyojiunga nayo Emmanuel Adebayor …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo aliyewahi kuvichezea vilabu vya Arsenal, Man City na baadae Tottenham Hotspurs Emmanuel Adebayor alikuwa hana timu kwa miezi kadhaa sasa, baada ya kocha wa klabu…
Simba wanamuhitaji Kim Poulsen? vipi kuhusu fedha za Okwi wamelipwa, haya ndio majibu (+Audio)
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia kwa mkuu wake wa idara ya habari na mawasiliano Haji Manara, wametoa majibu ya kuhusishwa na mipango ya kutaka kumpa ajira aliyekuwa kocha Taifa…
TOP 3 Stories: Pique katwaa tuzo mbele ya Messi, Real Madrid wameanza mazungumzo na Neymar, FC Barcelona wamewaharibia Arsenal …
Mtu wangu wa nguvu bado nakuletea headlines za stori kubwa za siku katika michezo. Leo January 26 naomba nikusogezee TOP 3 stories kubwa. Real Madrid na Atletico Madrid wameshindwa kuibuka na…
Maamuzi ya Mahakama Kuu Dar kuhusu bomoabomoa bonde la Msimbazi yametolewa leo..
Bomoabomoa ilianza mwisho wa mwaka 2015 kwenye maeneo mbalimbali ambayo yalitajwa kwamba ni mabondeni, maeneo ya wazi na mengine ambayo kisheria hayakutakiwa kuwa na makazi ya watu. Zoezi lilisimama kwa…