Top 10 ya Tweets zilizopewa uzito kwenye Magazeti ya leo January 26 unazisoma pamoja hapa!!
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Serena Williams kwenye hatua nyingine ya ushindi dhidi ya Maria Sharapova..
Nyota wa tennis duniani Serena Williams ameendelea kuonyesha kwamba yeye ndio bora zaidi baada ya kumshinda mpinzani wake Maria Sharapova kwenye michuano ya wazi ya Australia Open. Huu ni ushindi…
Uchambuzi wa stori kubwa Magazetini >>> Magufuli wa Singida? uchambuzi wa Membe? Majipu mengine?.. (+Audio)
Meya wa Kinondoni Dar amesema kwa uchambuzi alioufanya Bernard Membe angefaa ajiunge UKAWA, Kampuni ya IPTL yalionya Bunge kujadili tena suala la ESCROW... Mtoto aliyezaliwa na kilo 7.7 hospitali ya…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 26 2016 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
January 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Mwasiti kazitoa sababu zake kwanini hataki kuolewa…(+AUDIO)
Nakukutanisha na mkali wa Bongo fleva Mwasiti ambaye pia ni mmiliki wa hit song ya 'Serebuka' na hapa anayajibu maswali ikiwa ni pamoja na kuelezea baadhi ya mambo usiyoyajua toka…
Ni kweli Wema Sepetu ana mimba ya Idris? vipi kuhusu ndoa yao…(+AUDIO)
Kumekuwa na headline nyingi zikiandikwa kuhusu mastaa wa bongo Idris Sultan na Wema Sepetu na hii ni kuhusu mapenzi yao, hapa nakukutanisha na Idris akifunguka yote makubwa usiyoyajua kuhusu mapenzi yao.…
Good news kwa Bongo Fleva, list ya video za Bongo Fleva imeongezeka Trace Tv, hii imetambulishwa leo…
Ilikuwa ni nadra sana kuweka Mtv Base au Trace Tv ukakutana na video ya msanii wa Bongo Fleva inachezwa, siku hizi haishangazi kuona Alikiba, Diamond, Vanessa na wengine wakipata Air…
Niyonzima kavuliwa unahodha msaidizi Yanga? kwa nini hakuvaa beji FA Cup? majibu yapo hapa (+Audio)
Jumapili ya January 24 klabu ya Dar Es Salaam Young African ilishuka dimbani kucheza mchezo wake wa Kombe la FA dhidi ya Friends Rangers, lakini huu ulikuwa ni mchezo wa…
Rais Magufuli alivyomsimamisha kazi boss wa ‘NIDA’ na wengine wanne…(+AUDIO)
Jan 25 16 Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Dickson Maimu, hapa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue anatolea ufafanuzi mzima wa hatua hiyo. https://www.youtube.com/watch?v=l6Sgi_XsyPg&feature=youtu.be&hd=1…
Video ya mapokezi ya Ronaldinho na alivyonusurika kupata ajali Kerala India
Staa wa soka wa kimataifa wa Brazil Ronaldinho Gaucho bado yupo kwenye headlines, licha ya kuwa hayupo katika timu kubwa ambazo tumezoea kumuona, lakini uzito wa jina lake bado ni…