Hekaheka ya ubabe wa mwanamke aliyekosesha amani mtaa mzima Kawe Dar.. (+Audio)
Hii ishu ilisikika kwenye Hekaheka siku chache zilizopita, kesi yote ilikuwa suala la mwanamke mmoja maeneo ya Kawe Dar kuwa na tabia ya kupiga watu na wengine kuwajeruhi. Majirani na…
Kumbe hii ndio mipango ya Rais Museveni kwenda mbinguni !! motoni hawazii kabisa..(+Video)
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni ni mmoja wa Marais wa Afrika ambao sio wageni kuingia kwenye headlines ya stori za utani hivi... karudi tena, alikuwa kwenye kikao na waandishi…
Nyimbo 20 zilizochezwa sana kwenye Redio za Tanzania January 4 mpaka 10 mwaka 2016
Kutana na chati ya muziki ya nyimbo 20 zilizochezwa sana kwenye vituo mbalimbali vya Redio nchini Tanzania kutoka kwenye kampuni ya CMEA ambayo inayo mitambo maalum ya kujua kila wimbo…
Top 10 news kutoka Magazeti ya Tanzania January 14 2016..
Ni alhamisi ya January 14 2016, kila siku kuanzia saa 12 asubuhi nakusogezea tweets za stori kubwa kwenye magazeti ya Tanzania, hapa ninazo 10 zenye nukuu za uzito zaidi kutoka…
Stori za Magazeti ya Tanzania January 14 zilivyosomwa Redioni CloudsFM (+Audio)
Hii ni nukuu ya baadhi ya stori kubwa zilizogusa vichwa vya habari vya Magazeti ya Tanzania, unaweza kuzisoma zote pamoja na kusikiliza sauti ya uchambuzi wake kutoka redioni. Jeshi la…
Yalichoandika Magazeti 22 ya Tanzania leo January 14 2016, Udaku, Hardnews na michezo
January 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 22 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Video yenye magoli yote ya fainali ya Mapinduzi Cup URA vs Mtibwa FullTime 3-1
Usiku wa January 13 Zanzibar ilipigwa fainali ya 10 ya Kombe la Mapinduzi kwa kuzikutanisha timu za URA ya Uganda vs Mtibwa Sugar ya Tanzania, Mtibwa Sugar wakapigwa 3-1 na kwenye hii video hapa chini utajionea magoli yote..…
Joe Allen amefanya Arsenal washindwe kuondoka na point tatu Anfield, cheki ilivyokuwa (+Pichaz&Video)
Mechi za Ligi Kuu Uingereza zimeendelea kama kawaida kwa kupigwa michezo saba usiku wa January 13, miongoni mwa michezo iliyochezwa usiku wa January 13 ni mchezo kati ya Liverpool ambao…
Mbunge Joshua Nassari kaamua kuufata mzigo yeye mwenye China…(+Audio)
Kwenye hii kasi ya Rais Magufuli speed haiko kwa Mawaziri tu hapana, speed ipo mpaka kwa Wabunge ...acha ni kusogezee hii ya Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari…
VIDEO: Mkuu mpya wa Polisi Dar kaja na haya…
Nakukutanisha na Mkuu mpya wa Polisi Dar Simon Sirro alivyoianza kazi yake na kusema wenye pikipiki watamtambua, anabana kila kona na wale wanaozitumia kuibia hawana nafasi tena. Bonyeza Play hapa…