Video ya safari ya Rais Magufuli hospitali ya Muhimbili kumsalimia Frederick Sumaye.. (+Video)
Jumatatu January 11 2016 imenifikia ripoti nyingine ya Rais Magufuli kwenda hospitali ya Muhimbili kumjulia hali Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye. Hii hapa video ya sekunde 50, hapa Rais…
Picha 6 za Rais mstaafu Jakaya Kikwete alivyompongeza Mbwana Samatta..
Weekend iliyopita Tanzania iliingia kwenye historia baada ya mshambuliaji Mtanzania Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mchezaji bora wa soka Afrika kwa wachezaji wa ndani. Pamoja na kupewa pongezi nyingi na…
Kilichonifikia kuhusu msiba wa Mbunge wa zamani aliyefariki kwenye matibabu Marekani.. #RIP
Mwaka 2016 unaanza kukiwa na moja ya mambo makubwa yanayosubiriwa ni kushuhudia Bunge jipya la Serikali ya awamu ya tano linaanza majukumu yake... kumekuwa na taarifa kuhusu kuumwa kwa mmoja…
Single ya kwanza ya J.Martins 2016 hii hapa “Ikwusigo?“….Audio
Staa wa muziki pande za Nigeria J. Martins kauanza mwaka 2016 kwenye headlines za burudani kwa kuachia single yake mpya “Ikwusigo?“. Utaisikiza hapa mtu wangu.. https://www.youtube.com/watch?v=2tsf-s1Q3Fg Unataka kutumiwa MSG za habari…
Nukuu 11 zenye msimamo wa Maalim Seif>> Uchaguzi kurudiwa, Magufuli, Salim Jecha na mengine..
Siku chache baada ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu Tanzania bara pamoja na visiwani Zanzibar, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Jecha Salim Jecha alitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo…
Sio Obama peke yake!! hawa ni viongozi wengine waliowahi kumwaga machozi hadharani..
Wiki iliyopita Rais wa Marekani Barack Obama aliingia kwenye headlines baada ya kutokwa machozi wakati akizungumzia hali ya matumizi ya silaha Marekani, machozi yalimtoka alipokuwa akisimulia kuhusu shambulio la ufyatuaji risasi…
Mwanamke ameamua kujichukulia sheria mkononi dhidi ya majirani zake…
Kwenye zile stori za Hekaheka leo inatokea maeneo ya Kawe, Dar es salaam. Kuna jirani mmoja ambaye ni mwanamke aliamua kuziba njia ili watu wasipite karibu na nyumba yake..kilichowachosha majirani…
Sentensi nne za Frederick Sumaye baada ya Rais Magufuli kumtembelea hospitali bila taarifa..
Kumekuwa na ripoti mfululizo kwenye vyombo vya habari kuhusu kuumwa na kulazwa kwa Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye katika hospitali ya Muhimbili huku kukiwa hakuna ripoti inayotaarifu ugonjwa wake. Hii…
VIDEO: MwanaFA kaweka wazi walivyomaliza tatizo na Hermy B na ishu nyingine.
MwanaFA ni staa wa bongofleva ambaye ametajwa kuwa miongoni mwa wachache waliokaa kwenye muziki kwa zaidi ya miaka kumi na bado wanadunda mpaka sasa... hii ni Interview yake alipokutana na…
Kama Guardiola akijiunga na Man City, kocha wa Man City Manuel Pellegrini anatajwa kuamua hivi …
Ni siku kadhaa zimepita toka kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola atangaze kuwa hatoendelea kuifundisha FC Bayern Munich, baada ya msimu kumalizika, bali ataendelea kutafuta…