Cheki na parking ya Kichina gari inavyoingizwa chinichini ya ardhi.. (+Video)
Kama vile ambavyo kuna parking zipo katikati ya Dar es Salaam na miji mingine mikubwa Tanzania, parking ya ghorofani kabisa basi ujue kwamba iko na ya chini ya ardhi !!…
Mengine ya bomoabomoa? usafi wa Magufuli? viboko kwa wenye nguo fupi? #StoriKUBWA
Wakala wa vipimo kuanza kukagua mizani za wafanyabiashara TZ, watakaokwepa kupigwa faini... Wachungaji wa kanisa moja Mwanza wamtimua Askofu wao kwa tuhuma za ufisadi wa Milioni 500 za kanisa, msako…
Nyingine mpya yenye midundo yake tofauti kutoka kwa Jidenna; ‘Knickers’ – (Video)!
Kabla ya kufunga mwaka wa 2015, staa wa muziki kutoka Wondaland Records, Jidenna alizisogeza kwetu ngoma tatu mpya; Extraordinaire, Chief na Knickers. Time hii staa huyo wa 'Classic Man' anaileta…
Magazeti 20 ya Tanzania kwenye kurasa kubwa mbele na nyuma yameamka na hizi >> Udaku, Hardnews na Michezo
Good Morning mtu wangu !! January 11 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti 20 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu…
Video ya goli la Mtibwa Sugar Vs Simba nusu fainali ya Mapinduzi Cup 2016, Full Time 1-0 ..
Klabu ya Simba SC January 10 ilikuwa timu ya kwanza kuaga mashindano ya Kombe la Mapinduzi katika hatua ya nusu fainali dhidi ya Mtibwa Sugar, baada ya Simba kushindwa kusawazisha…
Cheki Video ya magoli na mikwaju ya penati ya mchezo wa nusu fainali, Yanga Vs URA Mapinduzi cup 2016
Usiku wa January 10 katika dimba la Amaan visiwani Zanzibar ulipigwa mchezo wa pili wa nusu fainali kwa kuzikutanisha timu za Dar Es Salaam Young African dhidi ya URA ya…
Yanga yaondolewa na URA ya Uganda nusu fainali, Alikiba jukwaani akishuhudia (+Pichaz)
Saa chache baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016 kumalizika, kwa klabu ya Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani kuibuka na ushindi wa…
Waziri wa Afya mguu kwa mguu kwa kila mgonjwa Hospitali ya Mkoa Geita..(+Audio)
Weekend ya January 10 inakwenda kukamilika mtu wangu, lakini kabla hatujaikamilisha acha ni kusogezee hii ya Waziri wa Magufuli ambae kwenye hii kasi ya Hapa Kazi tu, hataki utani kazini…ni…
Maamuzi mapya ya Kocha wa Taifa Stars dhidi ya Mbwana Samatta siku mbili baada ya ushindi wa tuzo (+Audio)
Siku mbili baada ya mshambuliaji kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta atangazwe na shirikisho la soka barani Afrika CAF…
Ibrahim Jeba kaipeleka Mtibwa Sugar fainali dhidi ya Simba, cheki pichaz na matokeo
Baada ya mapumziko ya siku moja kutokana na kukamilisha hatua ya Makundi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, January 10 michuano ya Kombe la Mapinduzi iliendelea katika…