Kanye West na Kim Kardashian kuwasaidia watoto 1000 msimu huu wa Christmas kwa mchango huu..!
Msimu huu wa Christmas 2015, Kim Kardashian anaziteka headlines kwenye pages mbalimbali za social media na websites za Marekani baada ya tweets zake kupitia page yake ya Twitter kugusa watu…
Ni muda wa kumsikiliza Mwana FA kwenye ngoma yake mpya…- ‘Asanteni kwa Kuja’ (Audio)
Kama umepita mitandaoni ndani ya kama wiki mbili hivi au zaidi utakubaliana na mimi kwamba kulikuwa na trend ya picha ya Mwana FA ikituweka tayari kwamba jamaa anakuja kivingine. Jina…
Mabibi na Mabwana Mtu Chee wametuletea hii video mpya ‘Mtu Tatu’..itazame hapa
Ma rapper wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy, Young Killer time hii wametuletea hii video mpya ya single yao iitwayo 'Mtu Tatu' wamewashirikisha Jux na Deddy. Unaweza ukabonyeza…
Hakuna tena Tip Top Connection? Wema Sepetu na Tuzo Kenya? Mpya ya Jux? Hizi hapa zote.. (+Audio)
Kama hukupata time kuisikiliza show ya XXL leo ninazo stori zenye headlines kubwa kwa staa Wema Sepetu, Martin Kadinda, na Babu Tale. Wema Sepetu amefanikiwa kuibuka na ushindi wa Tuzo…
Ratiba ya 16 bora ya UEFA, Arsenal Vs FC Barcelona, Real Madrid, Chelsea, Bayern na PSG Je? Cheki hapa …
Baada ya kumalizika kwa hatua ya Makundi ya mechi za klabu Bingwa Ulaya UEFA, December 14 ndio siku ambayo droo ya kupanga ni timu zipi zitakutana katika hatua ya mtoano…
Wyre kaidondosha kwako Official Video ‘Hotter’ Feat. Khaligraph Jones…
Staa wa muziki Wyre kutoka pande za Kenya kaisogeza kwako video ya ngoma yake mpya 'Hotter' ndani akiwa kamshirikisha Khaligraph Jones. Karibu uitazame hapa.. https://www.youtube.com/watch?v=EsWJCNn4VaE Unataka kutumiwa MSG za habari zote…
Ni MB Dog tena kwenye kionjo cha video yake mpya……..
Soko kubwa la wasanii wa Tanzania kwa sasa wanajitahidi sana kuwekeza upande wa video na kiukweli mabadiliko yanaonekana kabisa namna ambavyo wasanii wetu wanavyotumia gharama kwenye muziki huu ambao kwa sasa…
Ripoti kutoka Arusha Mjini na matokeo ya Ubunge yalivyosomeka leo.. (Audio)
Uchaguzi wa Mbunge jimbo la ARUSHA MJINI umefanyika jana December 13 2015, ambapo vyama vitano vya siasa vilisimamisha wagombea wa Ubunge Jimbo hilo. Wagombea waliopewa nafasi kubwa ya ushindi kwenye…
Diamond Platnumz, Flavour na AKA walivyokamata stage kwa pamoja South Africa… (Pichaz)
Kwa mara ya kwanza juzi December 12 2015 ndani ya South Africa limeshuhudiwa bonge la concert ambalo limepewa jina la BET Africa Experience, kilichoshuhudiwa ni burudani ya mastaa wakali kwenye stage moja…
Ni headlines za Mafikizolo na Diamond Platnumz Afrika Kusini….
Najua watu wengi walikuwa na hamu ya kufahamu headlines za kundi la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini na Diamond Platnumz juu ya collabo yao waliyoifanya tangu 2014 lakini mpaka sasa haijatoka.…