Ugonjwa wa homa ya mafua ya Nguruwe ulivyoibuka Mwanza…Taarifa ya TAMISEMI ninayo hapa
Baada ya kuripotiwa ugonjwa wa Kipindupindu kutokea katika maeneo mbalimbali kanda ya Ziwa headlines zimerudi tena. Uchunguzi uliofanywa na Maabara ya chuo kikuu cha Kilimo cha Sokoine SUA umethibitisha kuwepo…
Korede Bello staa wa ‘Godwin’ anaileta nyingine kali kwenye video; ‘Romantic’ feat. Tiwa Savage – (Video)!
Staa wa kutoka lebo ya Don Jazzy, Mavin Records na mwenye hit single ya Godwin, Korede Bello amerudi kuziweka headlines kwenye kurasa za burudani na ujio wa mdundo mpya pembeni…
Lil Kesh Feat.Patoranking kwenye hii official Video ‘Is It because I Love You’…
Lil Kesh kaisogeza kwako video ya ngoma yake mpya ‘Is It Because I Love You’ ndani akimshirikisha mkali wa My Woman, My Everything Patoranking. Karibu uitazame hapa... https://www.youtube.com/watch?v=mx8O1ZRlTiI Unataka kutumiwa MSG…
Kwa Tanzania, Uingereza na Hispania hizi ndio mechi kali za weekend ya December 12 na 13 …
Baada ya kusimama kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kwa wiki kadhaa sasa, Jumamosi ya December 12 inaendelea tena kama kawaida, Jumamosi ya December 12 itapigwa michezo sita na Jumapili…
Baada ya Classic Man, Jidenna anaisogeza ‘Long Live The Chief’ na video yake hii hapa… (Video)!
Baada ya kuweka headlines nyingi sana na single yake ya 'Classic Man' single iliyompa nomination ya tuzo za Grammy 2016, msanii kutoka Marekani mwenye asili ya Nigeria, Jidenna amerudi tena…
Mawaziri wa Rais MAGUFULI walivyojadiliwa na UVCCM leo, kuna msisitizo wa haya mawili..
Jana Rais wa Tanzania John Magufuli alitangaza Baraza jipya la Mawaziri, likiwa na jumla ya Wizara 18 pamoja na Mawaziri 19. Wadau wengi nchini wametoa maoni yao kuhusu uteuzi huo…
Kwenye stori kubwa >> Roberto na collabo TZ? album ya Weusi? Kala Jeremiah na ngoma mpya.. (+Audio)
Muziki umebadilika siku hizi, watu wanauza shows na maisha yanaenda sio kama zamani ile ishu ya kuuza album, Weusi wana mawazo tofauti kuhusu wazo hilo... Nick wa II amesema wao…
Picha 18 za Dec 11 ulipofikia utekelezaji wa maagizo ya Rais Magufuli Barabara Morocco-Mwenge
November 30, 2015 taarifa kutokea Ikulu zilisema kwamba Rais John Pombe Magufuli aliamuru kwamba fedha ambazo zilitengwa kwa ajili ya kugharamia sherehe za siku ya Uhuru December 09 2015 ambazo ni…
Kitu ambacho hawezi kusahau Mwaikimba katika maisha yake ya soka, alipewa dili na Mrwanda ila (+Audio)
Katika soka kila mchezaji ana rekodi yake iwe nzuri au mbaya, tunajua kupata mafanikio sio rahisi, kuna njia tofauti tofauti ambazo watu wanazipitia ili waweze kufanikiwa. Gaudence Mwaikimba ni mshambuliaji…
Video ikionyesha siku Davido na Wizkid walipotumbuiza pamoja December 2015
Wawili hawa wapo kwenye list ya mastaa wa Nigeria waliokuwa na 'beef' huku vyanzo vya ugomvi huo vikitajwa kuwa zaidi ya kimoja ila hakuna lisilokuwa na mwisho, kwenye tuzo za…