Prof. Jay ndani ya mjengo Bungeni? Dully + Yamoto Band? Msami Feat. Tekno? #255
Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule a.k.a Professor Jay tayari ameingia ndani ya Bunge Dodoma Tanzania... Proj. Jay amesema amefurahi kwa kuaminiwa na wananchi wa Mikumi Morogoro kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge,…
Miss Universe Tanzania fainali ni Ijumaa, ninazo rekodi kubwa zilizowahi kuwekwa duniani.. (Video)
Kama hujajua kwenye mashindano ya Miss Universe Tanzania mrembo wa kwanza kuvaa Taji hilo la ushindi ni Flaviana Matata, ambaye sasahivi anagusa headlines za mitindo duniani !! Mashindano hayo yalianza mwaka…
Martin Kadinda ana haya mengine, ile gari ya Wema Sepetu? Ndoa yake?.. #OnAiRwithMillardAYO
Hii ni sehemu nyingine ya exclusive interview #OnAIRWithMillardAyo hapa na Martin Kadinda... Maswali mengine aliyoulizwa Martin Kadinda yamejibiwa. Story za zawadi ya gari kwenye birthday, kufeli na maisha je? Dakika 11…
Soka na vioja vyake, hii ni video ya penati zilizowahi kufungwa kwa madoido ya nguvu !!
Najua mpaka kukamilika kwa dakika 90 za mechi ya mpira wa miguu huwa kuna vitu vingi vinatokea ukiachana na zile stori za magoli, penati, kona, kadi njano na nyekundu.. viko…
UKAWA na staili ya kumpokea Dk.Magufuli, Bomoabomoa, hatma ya Waziri mkuu..#MAGAZETINI
NIPASHE Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umesema utakuja na stahili mpya wakati Rais Dk. John Magufuli, atakapokwenda kuzindua na kuhutubia Bunge Novemba 20, mwaka huu. Umesema staili watakayoitumia ni…
Tayari nimekusogezea #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania November 18, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
‘Going Bongo’ imetua rasmi Tanzania na inasogezwa hivi kwenye kumbi za Sinema.. (+Video 3)
Ernest Napoleon ni Mtanzania ambaye aliamua afanye kitu tofauti na kikubwa sana kwenye soko la movie Tanzania, aliweka nguvu yake, muda wake na pesa ya kutosha kuhakikisha anafanya movie kali…
Magazeti 15 ya Tanzania November 18 2015 kwenye kurasa za mbele na za nyuma yameanza na hizi leo..
Leo November 18 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Du!!! Cristiano Ronaldo kazidi utundu hadi binti wa wakala wake …….
Cristiano Ronaldo kuingia katika headlines imekuwa kawaida sana kwake ukilinganisha na Lionel Messi ambaye amekuwa akitajwa kama mshindani wake mkubwa licha ya kuwa maisha binafsi wako tofauti sana kitabia za…
Full Time ya Algeria Vs Taifa Stars November 17 2015
Usiku wa November 17 watanzania wengi na wapenzi wa soka walikuwa wakisubiri kuona mchezo wa pili wa marudiano wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kati ya timu ya…