Licha ya yote, Karrueche Tran ameyasema haya kuhusu Chris Brown na mahusiano..!
Model na mwigizaji wa movie Marekani, Karrueche Tran alipata umaarufu mkubwa sana baada ya ukaribu wake na msanii wa R&B Marekani Chris Brown kuweka headlines kubwa sana, na baada ya…
Beef: 50 Cent na Rick Ross wafufua beef yenye miaka zaidi ya mitano kwenye mitandao ya kijamii!
Wasanii wa muziiki wa HipHop Marekani, 50 Cent na Rick Ross wanaziandika headlines baada ya wawili hao kufufua beef ya mwaka 2009 kati yao kwenye social media... ugomvi ulianza siku…
Video: Hii single inaweza kukupa nguvu ewe mtu wangu unaepitia magumu na kusemwasemwa.
Ni single ya Goodluck Gozbert, mwimbaji ambaye pia ni Producer na mikono yake imehusika kuzisuka nyimbo kadhaa za Mo Music ikiwemo 'basi nenda' https://www.youtube.com/watch?v=rGNTRGoknc4 Unataka kutumiwa MSG za habari zote…
Picha: Nyumbani kwa kina Rais Magufuli na maneno ya Dada kuhusu kazi zake enzi hizo
millardayo.com ilipata nafasi ya kuchukua machache kutoka kwenye familia ya Rais mpya wa Tanzania Dr. John Magufuli nyumbani kwao Chato Geita na kupata picha za nje za mazingira ya nyumbani…
Ulipitwa na kituko cha Majambazi Moshi kuachia risasi na kuiba mkate wakidhani ni mamilioni? full stori ninayo hapa
Ni tukio ambalo lilitokea Moshi Kilimanjaro ambapo Majambazi wawili wakiwa na Pikipiki walimvamia muuza duka Beatrice wakati akirudi nyumbani usiku wakiamini amebeba pesa kwenye mfuko, stori zaidi bonyeza play kwenye…
Magazeti ya Tanzania leo Novemba 9, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Novemba 9, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Full Time ya Sevilla Vs Real Madrid November 8 (+Pichaz&Video)
Baada ya FC Barcelona kufanikiwa kupata ushindi wa goli 3-0 dhidi ya klabu ya Villarreal bila kuwa na yota wao Lionel Messi ambaye bado yupo majeruhi, walipata ushindi huo katika…
Full Time ya Arsenal Vs Tottenham na matokeo ya mechi nyingine za Uingereza November 8 (+Pichaz&Video)
Ikiwa msimu wa mwaka 2015/2016 wa Ligi Kuu Uingereza unatajwa kuwa sio mzuri kwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho kiasi cha jana kuvunja rekodi yake kwani hakuwahi…
Full Time ya FC Barcelona Vs Villarreal November 8 (+Pichaz&Video)
Kivumbi cha Ligi Kuu Hispania kimeendelea tena Jumapili ya November 8 kwa michezo minne kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, klabu ya FC Barcelona ambayo bado inaendelea kumkosa staa wa kimataifa…
Full Time ya fainali ya TP Mazembe Vs USM Alger, Mbwana Samatta kwenye headlines tena…
Licha ya kuwa Jumapili ya November 8 kuna michezo kadhaa inapigwa barani Ulaya ila mchezo wa fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika ndio mchezo uliyokuwa umevuta hisia za…