Usimchukulie poa Serena Williams..!! Cheki alivyomnasa jamaa aliyemwibia iPhone yake (+Video)
Kama umezoea kuwaonea wanawake au wasichana basi nikupe tahadhari kwamba usiwachukulie poa hata kidogo..! Na wenyewe wanapiga zoezi kama kawaida, na ukimzingua mnaweza kumalizana poa kabisa anytime !! Ninayo video…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania November06, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Ni FurahiDay na Monica anaileta kwako hii mpya; ‘Just Right For Me’ feat. Lil Wayne – (Video)!
Mara ya mwisho umemsikia Monica ilikuwa ni lini? Imepita muda kidogo toka msanii wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Monica Brown azikamate headlines za burudani, na ninajua nina watu wangu…
Rais JPM kaanza kazi !! Maalim Seif Z’bar? ‘Mashangingi’ je? Polisi jela?.. (Stori+Audio)
November 6 2015 tayari ninazo zote nilizozinasa kwenye Uchambuzi wa Magazeti Redioni, hizi hapa kwenye nukuu yake pamoja na audio niliyorekodi. Rais Dk. Magufuli amesema yeye ndiye Rais, akiri uchaguzi…
Magazeti ya Tanzania leo Novemba 6, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Novemba 6, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Hivi ndivyo anavyojisikia Cristiano Ronaldo akiona Man United inafungwa na kuhusu kurudi Man United….
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kauli yake imeingia katika headlines usiku wa November 5 baada ya kuanza kuizungumzia klabu yake…
Full Time ya Rubin Kazan Vs Liverpool na matokeo ya mechi nyingine za Europa Ligi November 5 (+Pichaz&Video)
Usiku wa November 4 kulichezwa michezo kadhaa ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya na tuliona baadhi ya vilabu vikiondoka na point tatu kwa furaha na timu nyingine zikiondoka vichwa chini…
David Kafulila na Ubunge wake Kigoma bado hakijaeleweka… Ana haya mengine leo (Audio)
Kwenye list ya Wabunge wa upinzani ambao waliwahi kugusa vichwa vya habari na kutikisa Vikao vya Bunge lililopita Tanzania, David Kafulila wa Chama cha NCCR- Mageuzi yumo !! YES.. Na…
Kilichoandikwa na mastaa kwenye akaunti ya twitter Novemba 5, 2015
Kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote hapa nimekusogezea kile kilichoandikwa na mastaa wakiwemo wanasiasa leo Novemba 5, 2015. Hongera Rais JPM na asante kwa maneno ya hekima: "Uchaguzi…
Nimethibitishiwa kuhusu Dk. Magufuli kufanya uteuzi wa Mwanasheria Mkuu TZ.. (+Audio)
Ni saa chache tu zimepita toka Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli aapishwe na kuanza kazi yake kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na…