Toka yameanza kutangazwa, hizi ni video 9 za matokeo ya kura za Urais uchaguzi 2015 haitakiwi zikupite.
https://www.youtube.com/watch?v=CdQL4-JDM2k Mpaka sasa tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza matokeo ya kura za Urais kutoka MAJIMBO 195, yamebaki 69. https://www.youtube.com/watch?v=MtQWRRqKO9g https://www.youtube.com/watch?v=NsXXcECxfEs https://www.youtube.com/watch?v=cSSAR1VNtRM https://www.youtube.com/watch?v=TiXAePHo234 https://www.youtube.com/watch?v=d26eWZjG6T4 https://www.youtube.com/watch?v=ZAtAqozb5oA https://www.youtube.com/watch?v=TPoTAklFpmE https://www.youtube.com/watch?v=cQaHBvIwO1A Unataka kutumiwa MSG…
Video: Kwa dakika zako 6 tu tazama matokeo ya kura za Urais 2015 Tanzania (majimbo 51)
Kazi ya reporter wako Millard Ayo ni kukukutanisha na ripoti zote kubwa za siku hivyo kukupa uhuru wewe wa kuendelea na mambo mengine ukijua yote yaliyokupita ulipokuwa busy, utakutana nayo…
Drake aelezea kufanana kwa wimbo wake wa ‘Hotline Bling’ na ‘Cha Cha’ wa D.R.A.M..!
Kumekuwa na maneno mengi baada ya Drake kuachia video ya wimbo wa Hotline Bling, licha ya mashabiki wengi kuipenda video ya msanii huyo wapo pia waliojitokeza kusema kuwa Drake kaiba…
Kauli ya Tume ya uchaguzi kuhusu Tanzania bara baada ya matokeo yote ya Zanzibar kufutwa.
Ni headlines baada ya headlines kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania, baada ya tume ya uchaguzi Zanzibar kutangaza kuyafuta matokeo yote ya uchaguzi Zanzibar, tume ya taifa ya uchaguzi imesema pamoja…
August Alsina anaileta kwako single yake mpya; ‘Song Cry’ – (Audio)!
Msanii wa muziki wa R&B Marekani, August Alsina anaziandika headlines za kwenye kurasa za burudani na ujio wa single yake mpya iliyopewa jina 'Song Cry'. Wimbo umesimamiwa na Producer Brandon…
Mambo 20 yaliyotamkwa na Edward Lowassa (UKAWA) na January Makamba ( CCM) leo Oct 28.
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO 1: Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo, katika majimbo manne kumekuwa na…
Baada ya ukimya wa miaka miwili, Kelly Rowland amerudi na hii mpya; ‘Dumb’ – (Audio)!
Imepita miaka miwili toka msanii wa muziki wa R&B Marekani, Kelly Rowland aonekane kwenye headlines za burudani. Ndani ya miaka hiyo miwili Kelly amefunga ndoa na manager wake, amepoteza mama…
Gari ya Shilole imegongwa, Soudy Brown pembeni akainasa ishu yote… (+Audio)
Shilole anarudi tena kwenye U Heard ya Soudy Brown, hii sio mara ya kwanza Shilole kusikika kwa 'Gossip Cop' !! Ishu ilitokea maeneo ya Mikocheni Dar, kwa bahati mbaya jamaa…
Story za Afande Sele na Kala Pina kwenye Ubunge, Mkubwa Fella kwenye Udiwani.. (255 +Audio)
Afande Sele nae aliingia kwenye vichwa vya habari kuamua kujihusisha na Siasa... mambo hayakuwa mazuri, Kura hazikutosha na hajafanikiwa kuuchukua ushindi wa Jimbo la Morogoro mjini. Afande amesema anauweka muziki…
BREAKING NEWS: Maamuzi mapya kuhusu matokeo ya uchaguzi Zanzibar 2015
Matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar yamefutwa ambapo moja ya sababu za kufutwa kwa matokeo hayo ni pamoja na ukiukwaji wa taratibu na sheria ikiwemo Mgombea wa C.U.F kujitangazia matokeo. Via AzamTV Unataka…