Baada ya kuhusishwa kuhama Man City kwa muda mrefu, hii ndio sababu inayomfanya Yaya Toure asiondoke
Stori za kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast anayekipiga katika klabu ya Manchester City Yaya Toure kutokuwa na raha klabu hapo zimekuwa zikiingia katika headlines mara kwa mara, awali kulikuwa…
October 28.. hizi ni kura za urais Tanzania kutoka kwenye Majimbo 51.
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote…
R Kelly karudi na mdundo mpya; ‘Switch Up’ pembeni Lil Wayne na Jeremih! – (Audio).
Baada ya R Kelly kuachia video ya Backyard Party akiwa na Snoop Dogg pamoja na Chance The Rapper, msanii huyo maarufu kama 'The King of R&B' amerudi tena kutupa nyingine…
JoJo anaileta kwetu single yake ya pili kwa mwaka huu; ‘Say Love’ na video yake imenifikia! – (Video)
Baada ya kupotea kwa miaka 9 kwenye headlines za burudani, msanii wa muziki wa R&B Marekani, JoJo alirudi kuichukua nafasi yake kwa kuzindua video mpya iliyopewa jina “When Love Hurts”…
Halle Berry na mume wake kuachana baada ya miaka miwili ya ndoa!? Ukweli huu hapa…
Muigizaji wa movie Hollywood, Halle Berry anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani baada ya yeye na mume wake kuweka wazi kuwa wanaachana baada ya kushindwa kurekebisha tofauti zao…
Picha za Mawaziri, Wabunge na wengine 16 ambao hawajapita kwenye uchaguzi 2015 hizi hapa..
Leo ni siku ya tatu bado headlines za Matokeo ya Uchaguzi Mkuu zimeendelea kutawala vichwa vya habari, ni headlines za Siasa zinazoendelea kutawala kwa sasa Tanzania. Uchaguzi uliofanyika October 25…
Beyonce alipelekwa Mahakamani kwa madai ya kuiba wimbo… Mahakama imeamua haya!
Miezi michache iliyopita mmoja ya waimbaji kutoka kwenye bendi ya Beyonce Knowles, Javon Lane alipeleka mahakamani kesi ya haki miliki juu ya wimbo wa XO wa Beyonce na kudai kuwa…
Mike Tyson kwenye headlines, aamua kuimba ‘Hotline Bling’ ya Drake… ilikuwaje? + (Video).
Video mpya ya wimbo wa Drake, Hotline Bling umeweka headlines nyingi sana kiasi cha wasanii wengi kuamua kutengeneza remix tofauti ya wimbo huo... Licha ya remix kibao kufanywa na wasanii…
Baada ya Blac Chyna kuchora tattoo mkononi, Future kayaandika haya kwenye Twitter!
Baada ya Blac Chyna kuweka headlines nyingi na tattoo mpya ya jina la Future, rapper huyo ameamua kuongea kupitia mitandao ya kijamii kuhusu kile ambacho bado anaamini kuwa ni uzushi.…
NEC na matokeo Uchaguzi TZ, EU na Uchaguzi , Jeshi la Polisi na vurugu, UKAWA na Dar, Mrema Bungeni?! (Audio)
Good Morning mtu wangu, uchambuzi wa magazeti @CloudsFM The People's Station umekupita? Jukumu langu kwako ni kuhakikisha zile zote kubwa za leo zinakufikia, baadhi zikiwa... NEC imetangaza matokeo ya Urais…