Magazeti ya Tanzania leo October 28, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Octoba 28, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Full Time ya Sheffield Wednesday Vs Arsenal October 27 na matokeo ya mechi nyingine za Capital One (+Pichaz&Video)
Usiku wa Jumatano ya October 27 kulikuwa hakuna mechi za Ligi Kuu Uingereza ila ilikuwa ni siku ambayo michezo ya ya Kombe la Capital One iliendelea nchini Uingereza kwa mechi…
Sentensi za Mbowe mbele ya waandishi wa habari October 27, 2015….(+Audio)
Ni saa chache tu baada ya kuanza kutangazwa kwa matokeo ya Urais ya mwaka 2015 Tanzania ambapo leo October 27, 2015 mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kazungumza na waandishi wa…
Sasa ni zamu ya kuona idadi ya kura za Urais zilizopigwa na Mbeya, Tanga, Arusha, Singida, Tabora na kwengine.
Tume ya taifa ya Uchaguzi imeendelea kutangaza matokeo ya kura za Urais 2015 ambapo leo October 28 kwenye awamu ya kwanza imetangaza matokeo ya majimbo 51 na kufanya idadi ya…
Prince William katoa medali ya heshima kwa Frank Lampard (+Pichaz)
Kiungo wa kimataifa wa zamani wa Uingereza na klabu ya Chelsea ya Uingereza Frank Lampard ambaye kwa sasa yupo katika klabu ya New York City inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), ameingia katika headlines…
Majina ya Wabunge zaidi ya 40 waliothibitishwa kushinda uchaguzi mkuu 2015.
Tunaendelea kuzipata updates kila wakati kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuhusu matokeo ya Kura za Wagombea Urais kwenye uchaguzi uliofanyika October 25 2015 Tanzania. Ripoti za matokeo ya…
Baada ya mbunge wa CCM kutangazwa mshindi Nyamagana Mwanza, Wenje ameyaongea haya mbele ya Waandishi leo
Jimbo la Nyamagana Mwanza ambalo lilikuwa chini ya mbuge Ezekiel Wenje lipo kwenye headlines sasa hivi ambapo matokeo ya uchaguzi mkuu 2015 Stanslaus Mabula aliyekua Meya wa Mwanza, yamemtangaza mshindi.…
Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara October 28 na 29, msimamo wa Ligi na wafungaji magoli…
Ligi Kuu soka Tanzania bara inaendelea tena kwa michezo kadhaa kupigwa siku ya Jumatano ya October 28 na Alhamisi ya October 29. Ligi hiyo inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika…
Baada ya promota wa Mayweather kutangaza kuwa bondia huyo kastaafu, Mayweather kwenye headlines na gari la kifahari
Bondia mwenye rekodi ya kutopigwa Floyd Mayweather bado jina lake linatumika kupamba headlines mbalimbali katika mitandao mbalimbali duniani. Stori kutoka kwa promota wa bondia huyo zilizotoka October 26 ni kuwa…
Matokeo ya kura za Urais za majimbo yote yaliyotangazwa na tume Oct 27 mchana.
Hii ni list tu ya majimbo 7, mengine naendelea kukuandikia hapa kwenye millardayo.com mtu wangu hivyo ukirefresh kila baada ya dakika 5 utakuta list nyingine nimeiandika chini ya hizi. MKOA…