ACT wazalendo walivyofunga kampeni za uchaguzi 2015 Kigoma.
October 24 2015 ndio ilikua siku ya mwisho ya vyama vya siasa Tanzania kupiga kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu ambao tarehe yake ni October 25 ambapo baada ya kukuonyesha…
Na Madereva wanapiga kura October 25, usitegemee kusafiri kwa asilimia 100.
Chama cha wamiliki wa mabasi Tanzania (TABOA) kimeamua kusitisha huduma zote siku ya October 25 ili kuwaruhusu madereva wake kupata nafasi ya kupiga kura kwenye siku kubwa ya Jumapili October 25. Muweka…
Full Time ya Arsenal Vs Everton na nyingine za ligi kuu Uingereza October 24 (+Video)
Ligi Kuu Uingereza imeendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, miongoni mwa michezo iliyokuwa inapewa nafasi kubwa au kuteka hisia za mashabiki wengi wa soka ni mechi kati…
Dakika za mwisho za CCM na UKAWA jukwaani, mzigo umepigwa Mwanza na Dar es Salaam.. (Pichaz)
October 24 2015 zimebaki saa chache mpaka sasa kuifikia October 25 siku ya Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, ni Uchaguzi ambao huwa unafanyika…
Full Time ya Celta Vigo Vs Real Madrid October 24 (+Video)
Ligi Kuu Hispania imeendelea tena leo October 24 kwa michezo kadhaa kupigwa nchini Hispania, klabu ya Real Madrid ya Hispania ilikuwa mgeni wa Celta Vigo katika uwanja wa Estadio Municipal de…
Top 8 ya Hit Us Trace TV Octoba 24, 2015…..
Najua kuna watu walikuwa na hamu ya kufahamu video zinazofanya vizuri duniani na zilizofanikiwa kuchukua nafasi kwenye countdown za nchi kubwa. kwa mara nyingine tunajiunga na kituo cha TV cha…
Ulijiandikisha kupiga kura Arusha lakini uko Dar es Salaam? inabidi utambue hili
Najua kuna watu watahitaji kufahamu kama ulijiandikisha Dar es Salaam lakini ukasafiri kwenda Arusha, kura utaweza kuipiga? zimebaki saa chache za kupiga kura na bado unaweza kupiga kura kama utafata maelekezo…
Hiki ndicho kitakachofanya African Sports wasirudi Tanga kupiga kura
Licha ya kuwa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limesimamisha Ligi weekend hii kwa sababu ya kutoa fursa kwa wachezaji na mashabiki wa soka kupata nafasi ya kupiga kura siku ya…
Pele ametimiza miaka 75, cheki magoli yake 10 kwenye ubora wake zamani.. (Video)
Jina lake ambalo Dunia inalitambua kutokana na heshima kubwa aliyoiweka kwenye soka anaitwa Pele ila Jina halali kabisa la utambulisho wake ni Edson Arantes do Nascimento, mmoja ya wakongwe wenye heshima…
Hawa ndio wafungwa waliohitimu Diploma Kenya na wanaenda kuhubiri Magerezani !!
Mara nyingi watu wanaotumikia Vifungo Gerezani huwa hawana uhuru wa kushiriki mambo mengi ikiwemo kusoma Shule, nimekutana na hii stori toka Kenya ambapo watu 16 ambao wanatumikia Kifungo wamepata nafasi…