‘Funga Kampeni’ UKAWA na CCM? Ajali ya Mgombea Ubunge.. Mita 200? #StoriKUBWA (Audio)
Kwenye stori kubwa kutoka Magazeti ya Tanzania October 23 2015 ziko hizi chache zilizochambuliwa Redioni Clouds FM kwenye show ya Power Breakfast. Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikusanyiko baada ya…
Magazeti ya Tanzania leo October 23, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Octoba 23, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Full Time ya Liverpool Vs Rubin Kazan October 22 (+Pichaz&Video)
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilichezwa October 20 na 21 lakini Alhamisi ya October 22 iliendelea michezo ya UEFA Europa Ligi ambayo zamani ilikuwa inafahamika kama Uefa ndogo, October 22…
Tamko jipya la madereva baada ya mwenzao kupigwa risasi kisa laki 4…(Pichaz)
Matukio ya watu kupigwa risasi yamekuwa yakichukuwa headlines kubwa hasa kwa Dar es salaam lakini sio mwajiri kumpiga risasi mfanyakazi wake, Sasa hii imekuwa tofauti kidogo ambapo Jumanne ya wiki…
Video 5 za juu kwenye chati ya Urban Trace TV ziko hapa………
Trace TV ya Ufaransa ni kituo kingine cha TV kinachoonekana Afrika kupitia huduma ya kulipia kikiwa na nafasi yake kwenye upande wa burudani hususani muziki wa kizazi cha sasa, usiku…
Bado siku 3….Shauri la kukaa mita 200 baada ya kupiga kura limeendelea leo Mahakama Kuu Dar
Tukiwa bado tuko kwenye headlines za Uchaguzi 2015 stori inayochukua kasi katika vyombo vya habari pamoja na mitandao ni kuhusiana na wananchi kusimama mita 200 pale wanapomaliza kupiga kura siku…
Ukimwona Mamba kasinzia usidanganyike kabisa, hili ndio pozi lake la mtego !!
Mamba ni mmoja ya wanyama ambao kama ukikutana nao kwenye maji wana mabalaa yao, unaweza ukamchukulia kwamba sio mnyama mwenye mbio sana ukilinganisha na wanyawa wengine kama Simba na Chui,…
Matokeo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara October 22
Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea tena leo October 22 kwa michezo minne kupigwa katika viwanja vinne, JKT Ruvu walikuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar ya Morogoro katika uwanja wa Karume…
Collabo ya D’Banj na jamaa wa TZ.. Video ya ‘Aiyola’ imekamilika? (#255 Audio)
Kuna mkali mwingine ambaye ni underground kutoka Shinyanga TZ kaingia kwenye headlines kubwa baada ya kufanikiwa kupata connection ya kufanya ngoma na mkali toka Nigeria, D’Banj. Jamaa hana jina kubwa…
Baada ya mashabiki wa Man City kuzomea wimbo wa UEFA, klabu yao kukumbana na adhabu hii…
Klabu ya Manchester City ya Uingereza ambayo usiku wa October 21 ilicheza mechi dhidi ya klabu ya Sevilla katika uwanja wake wa nyumbani wa Etihad. Kabla ya kuanza kwa mchezo huo…