Sentensi 10 za mke wa Marehemu kuhusu ajali, picha za Marehemu na kifo cha Mchungaji Mtikila..
October 22 2015 ni wiki ya tatu zimepita tangu aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha Democratic Party (DP) Mchungaji Christopher Mtikila afariki kwa ajali ya gari ndogo eneo la Msolwa, Chalinze…
Bastian Schweinsteiger kaamua maamuzi haya kwa kampuni ya kichina iliyotengeneza sanamu yake…
Kiungo wa kimataifa wa Ujerumani anayeichezea klabu ya Manchester United ya Uingereza Bastian Schweinsteiger October 22 ameingia katika headlines baada ya mtengenezaji wa midoli wa kichina kutengeneza mdoili unaofanana na yeye…
TBT pichaz za Jose Mourinho, Louis van Gaal, Luis Enrique na Pep Guardiola zipo hapa
Kama ambavyo katika mitandao ya kijamii watu mbalimbali hupenda kuweka TBT pichaz zao siku ya Alhamisi na kujikumbushia wapi walipotokea. Kama kawaida mtu wangu wa nguvu huwa si ruhusu upitwe…
Pale ambapo mtoto mdogo anawekwa kufanya kazi za nyumbani.. #Hekaheka +Audio
Team nzima ya 'Leo Tena' @CloudsFM imekuja na Hekaheka kutoka maeneo ya Tandika ambapo Geah Habib amekutana na stori ya mtoto mdogo ambaye ameletwa toka Mpanda kuja kufanya kazi za…
Meek Mill. Vs. Wale kwenye mitandao ya kijamii, warushiana maneno… kisa?!
Jana rapper kutoka kwenye kundi la Maybach Music Group (MMG) Wale aliitembelea studio ya Power 105.1 kwa ajili ya interview na kipindi cha The Breakfast Club... kwenye interview hiyo Wale…
Khloe Kadarshian afanya maamuzi ya kufuta maombi ya talaka kwa Lamar Odom… sababu?!
Kumekuwa na headlines nyingi baada ya mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu Lamar Odom kufikishwa hospitali baada ya kukutwa hoi hajitambui... staa kutoka kwenye reality show ya Keeping up with…
Utapenda kuiona ‘Know Me’, mdundo mpya kutoka kwa Wale! – (Video).
Msanii kutoka kwenye lebo ya Maybach Music Group (MMG), Wale anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani, baada ya kuzindua nyimbo nne kwenye kipindi cha The Breakfast Club kwenye…
CHADEMA, CCM nusu kwa nusu, Lowassa na bandari Tanga, Baa na uchaguzi? Hukumu mita 200 leo! (Audio)
Good Morning mtu wangu leo ni Alhamisi 22 October 2015, na kama kawaida lazima asubuhi ianze na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM. Kama zilikupita na hukuzisikia zote unaweza ukacheki na hizi…
Magazeti ya Tanzania leo October 22, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Octoba 22, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Full Time ya PSG Vs Real Madrid na matokeo ya mechi nyingine za Ligi ya Mabingwa Ulaya October 21 (+Video)
Usiku wa October 21 michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliendelea tena kwa michezo nane kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Usiku wa October 21 ilipigwa michezo nane kutoka katika…