Haya ni maneno ya Idris Sultan kuhusu ujio wa TV Show yake mpya BET…!
Mshindi wa Big Brother Africa 2014 Idris Sultan anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani... baada ya kuiwakilisha #255 vizuri kwenye shindano hilo kubwa la Africa, mafanikio mengi yamekuwa yakimfuata nyuma…
#RIP.. Mgombea Ubunge Arusha amefariki, kingine ni hiki >> Ugonjwa? Kampeni kusimama?, Mazishi?
October 09 2015 Tanzania inaguswa na taarifa nyingine ya Majonzi kwenye Siasa, ambapo Mgombea mwingine wa Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa Tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Estomih MALLAH…
Harmonize na historia ya safari yake kuelekea kwenye mafanikio…#Hekaheka Audio
Leo team ya Hekaheka wapo na msanii chipukizi kutoka WCB anaitwa Harmonize...kwenye hekaheka yake amesema wakati anaanza kazi ya muziki alishiriki show ya fiesta Mtwara lakini hakuweza kuperfom..akiwa njiani kwenda…
Ni FurahiDay na Ciara anauleta kwako mdundo wake mpya; ‘Paint It Black’- (Audio).
Ciara anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani, baada ya kuachia hit single yake ya 'Dance like we're making love' msanii huyo amerudi tena na single nyingine mpya! Kame wewe ni…
Kamera za waandishi hazikuwa mbali kunasa tukio la kinyama kwa mama huyu mjamzito…Video
Tukio hili limetokea huko Texas,Marekani baada ya ugomvi kati ya mume na mke ambapo mama mwenye ujauzito wa miezi nane alijikuta akihatarisha maisha yake baada ya mume wake kumburuza kwa…
Safari ya mwisho ya Marehemu Mchungaji Mtikila kwenye mazishi yake Njombe…
Safari ya Marehemu Mchungaji Christopher Reuben Mtikila Duniani imefika mwisho baada ya ndugu, jamaa, marafiki na mamia ya watu kuongozana mpaka Kijiji cha Milo, Ludewa Mkoa wa Njombe ambapo yamefanyika Mazishi yake jana…
Headlines za ugonjwa wa Ebola zahamia Nigeria..
Miezi ya hivi karibuni Headlines za ugonjwa wa Ebola zilisambaa katika vyombo mbalimbali vya habari duniani. Leo headlines zimerudi tena huko Nigeria baada ya watu 10 kuwekwa karantini katika hospitali…
Kingunge vs. CCM, Dk. Slaa kwa Magufuli, Rais wa Nigeria na Uchaguzi Tz? Kagame? Nchemba je? (Audio)
Asubuhi ya kila siku lazima ianze na uchambuzi wa magazeti redioni @CloudsFM, pengine ulikuwa kwenye foleni na nyingi zimekupita na kama kuna moja uliikosa basi karibu uperuzi na hizi nyingine…
Tecno wazindua simu mpya Tecno Phantom 5… (Picha)
Una mpango wa kununua simu mpya kwa sasa mtu wangu?, kama bado upo kwenye mgongano wa mawazo hujui ununue simu gani basi Tecno Phantom 5 haina mpinzani kwa sasa. Ukifanya…
Magazeti ya Tanzania Octoba 9, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Octoba 9, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…