Haya ni mambo 3 mapya aliozungumza Rick Ross kwenye interview yake ya leo! + (Video).
CEO kutoka lebo ya Mayback Music Group (MMG) Rick Ross aliweka headlines nyingi sana siku chache zilizopita baada ya taarifa kusambaa kuwa rapper huyo ana mchumba ambaye very soon atamuoa,…
Lionel Messi amenusurika Mahakamani, baba yake ataikwepa miezi 18 jela?
Unaikumbuka ile kesi ya Lionel Messi na baba yake mzazi Jorge Messi kutuhumiwa kukwepa kodi? basi stori kutoka mtandao wa the42.ie kuhusu muendelezo wa kesi hiyo unaeleza kuwa waendesha mashitaka nchini Hispania wameona Lionel…
Du!! Samir Nasri ana msimamo huu kuhusu timu yake ya taifa hata kama baba yake angekuwa kocha…
Wachezaji wengi wa soka duniani hupenda kuona wakiitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya nchi zao hususani katika michuano mikubwa kama Kombe la Dunia na michuano mingine ambayo itawapa…
Kitu kipyakipya kutoka Nigeria… Waje Feat. Patoranking- ‘Left For Good’ (+Video)
Wiki iliyopita Waje aliachia behind the scenes ya video ya ngoma yake mpya 'Left For Good' akiwa na hitmaker wa 'My woman, My everything' Patoranking, leo tayari video ya ngoma hiyo…
Kipande cha pili Trailer ya movie ‘Road To Yesterday’ ya Genevieve Nnaji hiki hapa…. +Video
Wiki iliyopita Pruducers wa filamu ya 'Road To Yesterday' aliweka trailer ya kipande cha kwanza cha filamu hiyo ambayo amecheza staa wa Nollywood Genevieve Nnaji akiigiza kama mke na mama wa…
Siku moja kabla ya mechi TFF yatangaza maamuzi haya kwa kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa (+Audio)
Siku moja kabla ya kuchezwa kwa mechi ya kimataifa kati ya Taifa Stars dhidi ya Malawi, shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF lilitoa nafasi kwa makocha wa timu zote…
Hawa ndio Watanzania wawili waliotajwa na CNN kuwania Tuzo ya Wajasiriamali chini ya Miaka 23 Africa..
Kuna Tuzo zinaitwa ANZISHA AWARDS, nimezifahamu leo baada ya kukuta kuna majina wa Watanzania wawili ambao wametajwa kwenye vijana 12 waliotajwa kuwania Tuzo hizo mwaka 2015. Tuzo hizo zimeanzishwa kwa…
Mwendelezo wa issue ya msanii wa Rwanda na Director Nisher imefikia hapa…#Uheard
Baada ya jana yule msanii wa Rwanda Man Martin kulalamikia kutopewa ushirikiano na Director Nisher baada ya kutua nchini kwa ajili ya kufanya video yake leo inaendelea. Soudy Brown baada…
Nay wa Mitego na Bil Nas wana beef? kundi la Cental Zone, Jordan kaja na ‘Kama Ronaldo’..#255
Kuna tetesi Nay wa Mitego na Bil Nas walikuwa na beef..leo Producer Mr T touch kafunguka kwenye 255 na amesema beef yao ilitokana na maneno ya Nay kuwa Bil Nas hajafikia…
Hekaheka ya jirani kuwatishia wenzake kutaka kuwachinja imesikika leo…
Kwenye zile stori za Hekaheka leo Geah Habib aliitwa na wanaanchi wa Kivule wakidai kuna jirani yao amekuwa akiwanyanyasa na kutaka kuwachinja. Watu wengi wamekuwa wakilalamika, kwanza wamesema kuna kiwanja…