Ninazo pichaz za mwanzo kutoka uwanja wa Jamhuri Morogoro Mtibwa Sugar Vs Yanga
Ikiwa zimesalia dakika kadhaa kabla ya kuanza kwa mechi ya Ligi Kuu soka Tanzania bara, mechi ambayo inazikutanisha timu za Mtibwa Sugar dhidi ya Dar Es Salaam Young Africans, naomba nikusogezee pichaz…
Mixtape ya Drake na Future imegusa nafasi ya juu kwenye chati ya Billboard Marekani!
Mwaka huu umekuwa poa sana kwa mastaa wa muziki wa Hip Hop Marekani Drake na Future... mixtape yao ya What a Time to Be Alive imeweka headlines nyingi sana Marekani…
Ben Pol kazungumzia Sophia Remix, Bil Nas na ngoma mpya, Diamond kwenye mahojiano CNN..#255
Kupitia zile headlines za 255 leo Perfect amezungumza na Ben Pol kuhusu show ya weekend iliyopita ya Kili Fest, jamaa kazungumzia remix ya ngoma yake mpya ya 'Sophia', amesema ili kuifanya…
Kumbe watu wengi hutumia Facebook kuwafuatilia wapenzi wao wa zamani!
Kuachana na mtu uliyekuwa unampenda inauma sana na kujaribu kuweka mawasiliano na ex boyfriend ama ex girlfriend wako inaweza kukuletea stress kubwa sana licha ya kila mtu kuwa na namna…
Nimekusogezea list ya nyumba 15 za mastaa zilizoongoza kwa ufahari hadi kufikia Nov.2013
Mastaa wengi wamekuwa wakijituma katika kazi zao ili kuhakikisha wanaishi maisha ya kifahari kulingana na kazi wanazofanya., wengi huwekeza zaidi katika majumba ya kifahari, magari na hata wengine katika biashara.…
Hizi ni safari ndefu zaidi za Ndege Duniani, unakaa mpaka saa 17 angani mtu wangu.. (+Pichaz)
Unaweza ukaona safari ya kutoka Mwanza mpaka Dar es Salaam ni ndefu kwa sababu unatumia kati ya saa 12 mpaka 16 ndani ya basi, lakini kwa Usafiri wa Ndege ni…
Selfie nyingine iliyosababisha kifo cha mwanafunzi huyu..
Bado matukio ya watu kupoteza maisha kutokana na upigaji wa picha za Selfie yameendelea kuripotiwa kila siku. Hii nyingine ni mwendelezo wa matukio hayo ambapo huko Russia kuna mwanafunzi mmoja…
Umeisikia hii mpya ya Young Thug; ‘Power’? Video yake imenifikia… (Video)
Young Thug anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani, baada ya kuachia video ya wimbo wake wa 'Best Friend' mwanzoni mwa mwezi huu rapper huyo amerudi na nyingine mpya kutoka kwenye…
Jay Z anafurahia mafanikio yake mtu wangu, apost ujumbe huu Twitter…
Rapper na Mfanyabiashara Jay Z anasababu nyingi za kusherekea matunda anayozidi kuvuna kupitia biashara zake za kimuziki... baada ya watu wengi kulalamika kuwa application ya TIDAL ya rapper Jay Z…
NEC na Uchaguzi Mkuu, Rais ndani ya masaa 72, CCM na Mwananchi, Mahujaji 112 warudi Tanzania, wengine? (Audio).
Asubuhi ina mambo mengi na pengine uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita, ninazo hapa chini zile kubwa kubwa za leo zilizosikika redioni, kama zilikupita unaweza cheki na hizi nyingine kufidia. Mahujaji…