Mtoto wa Marehemu Paul Walker kapeleka Kesi ya Kifo cha baba yake Mahakamani, madai yake ni haya…
Marehemu Paul Walker alikuwa mmoja ya wakali ambao wamecheza movie za Fast & Furious… Kifo chake ni moja kati ya vifo vilivyoshtua na kuwaumiza watu wengi Duniani. Jamaa alifariki kwa…
Familia ya Kanye West kupokea ugeni mkubwa tarehe 25 December!
December ya mwaka huu itakuwa poa sana kwa familia ya Kanye West kwani mtoto wao wa pili anategemea kukaribishwa duniani tarehe 25 December, yani siku ya Christmas day mtoto North…
Manny Pacquiao kurejea ulingoni mwakani, atapigana na nani? jibu lipo hapa…
Bondia wa kimataifa wa Filipino Manny Pacquiao ambaye mwezi May mwaka 2015 alipigana na bondia mwenye rekodi ya kutopigwa Floyd Mayweather, ameanza kurejea katika hali yake ya kawaida baada ya kufanyiwa…
Waje Feat. Patoranking- ‘Left for Good’ itakuja na muonekano huu… Pichaz (Behind the Scenes)
Good news ikufikie kwamba anytime kitu kitakuwa hewani, Video ya mdundo uliowakutanisha wakali wawili wanaowakilisha good music toka Nigeria, Mrembo Waje pamoja na mkali wa 'My Woman My Everything', Patoranking... Ngoma yenyewe ni …
Makamu wa Rais wa zamani wa FIFA kakumbana na kifungo hiki baada ya kamati ya maadili kukaa…
Aliyekuwa makamu wa Rais wa Shirikisho la soka duniani (FIFA) Jack Warner amengia kwenye headlines kwa mara nyingine tena September 29. Jack Warner ambaye alistaafu nafasi hiyo miaka minne iliopita,…
Pale ambapo Refa anaamua kutumia Bastola baada ya mambo kuharibika Uwanjani..
Mara nyingi tumezoea kuona waamuzi wakitumia madaraka yao kuwaonya wachezaji soka uwanjani kwa kadi za manjano na kadi nyekundu kama kosa ni kubwa, lakini hii imekuwa tofauti kidogo kwa muamuzi Gabriel…
Mtoto akigusana na mtu mwenye Kipindupindu, kuna uwezekano akapata maambukizi ? (+Audio)
Soudy Brown leo alikua akipiga stori na Mrisho Mpoto ambaye wamezungumza kuhusu ugonjwa wa Kipindupindu unavyosambaa.. Soudy akagusia pia kama kuna uwezekano mtoto akapata maambukizi ya kipindupindu baada ya kugusana…
Kaajiriwa na kusimamishwa kazi ndani ya Dakika 30, kisa michoro ya Tattoo mwilini …!!
Unaambiwa ni ndani ya kama dakika 30 tu mtu kaajiriwa na kaikosa kazi ndani ya muda huohuo, kisa michoro ya tattoo… Claire Shepherd ni mwanamke ambaye ana umri wa miaka…
Staa wa Man United kwenye headlines na mpenzi wa zamani wa Chris Brown (+Pichaz)
Winga wa kimataifa wa Uholanzi anayekipiga katika klabu ya Manchester United Memphis Depay, ameingia kwenye headlines na mpenzi wa zamani wa staa wa muziki wa Marekani. Memphis Depay ambaye amejiunga…
Mabeste, mpenzi wake kwenye Video moja, Navy Kenzo na show ya KiliFest, Gharama za Lebo ya QS ..#255
Ijumaa hii Mabeste anatarajia kuachia Video ya ngoma yake mpya...amesema ameamua kumtumia mama wa mtoto wake aitwaye Lisa kama Video Queen wa ngoma yake mpya 'Usiwe Bubu'...amesema ameona afanye naye ili…