Taarifa mpya ikufikie kuhusu beki wa Man United aliyevunjika mguu (+Pichaz)
Beki wa klabu ya Manchester United mwenye umri wa miaka 20 Luke Shaw ambaye alivunjika mguu katika mechi ya Ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya klabu ya PSV Eindhoven ya Uholanzi,…
Mgombea mwenza wa CCM akutana na wasanii wa bongo movie SEPT 19 (Picha)…
Headlines za Tanzania kwa sasa ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015, ambapo leo Sept 19 wasanii wa filamu walipata mualiko kutoka kwa mgombea mwenza kupitia chama cha Mapinduzi,…
Matokeo ya Yanga Vs JKT Ruvu na mechi zingine za Ligi Kuu yapo hapa (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena September 19 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania, mechi ambazo zimechezwa September 19 ni mechi nne, klabu ya Yanga imeikaribisha klabu ya JKT…
Full Time ya Chelsea vs Asrenal Sept. 19 !
September 19 2015 ni siku nyingine ilikua inasubiriwa na mashabiki wa soka kwenye pande zote za dunia manake ni siku iliyozikutanisha tena uwanjani Arsenal na Chelsea ambapo mpaka game imemalizika…
Familia ilivyofanya Ndege kuwa nyumba ya kuishi na wako poa kabisa yani !! Pichaz hizi hapa..
Taylor Weidman ni Mwandishi wa Habari ambaye ameishi Thailand kwa kama miaka miwili hivi, amekatisha mitaa ya Jiji la Bangkok, Thailand. Maeneo mengi ya Miji mikubwa kama Dar es Salaam wakati…
Wachina walivyopewa dakika moja kushindana kupigana mabusu, pozi baada ya pozi.. (Pichaz & Video)
Kuna mashindano mengine ni vichekesho tu, pata picha mnashindana kupigana mabusu na mshindi anaahidiwa pesa ya nguvu kabisa eti !! Shindano limefanyika May 01 2015 katika Jimbo la Yunnan, China... mtu…
Unamkumbuka Rivaldo wa FC Barcelona? Kafanyiwa upasuaji taarifa ipo hapa… (+Picha)
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania na timu ya taifa ya Brazil Rivaldo bado dunia ya soka ina mkumbuka kwa umahiri wake uwanjani lakini amewahi kutwaa tuzo…
Mtoto aliyekamatwa na saa wakidhani ni bomu harudi tena Shule? Boss wa Facebook nae kaandika haya..
Stori bado inagusa kwenye vichwa vya habari Duniani, September 16 nilikusogezea stori ya Ahmed Mohamed mtoto mwenye umri wa miaka 14 ambaye alikamatwa Shuleni na kupelekwa Polisi baada ya kukutwa…
Hadi kufikia September 2013 hizi ni hoteli 10 zinazotajwa kuwa na muonekano usio wa kawaida (+Pichaz)
September 19 nakusogezea karibu yako muonekano usio wa kawaida wa hizi hotel zilizopo katika miji mbalimbali duniani, huenda uliwahi kutembelea nchi kadhaa lakini hukubahatika kuona uzuri na upekee wa majengo…
Baada ya zawadi ya cake, mke wa 2 Face aliandika haya siku ya birthday ya mumewe..
Huenda katika Sherehe ambazo staa wa Nigeria 2 Face Idibia amewahi kuzifanya hii ambayo ilifanyika jana September 18 2015 ilikuwa imekaa poa zaidi !! Moja ya vitu vilivyovutia ni cake…