Kitu kipya cha mkali mwenyewe Belle 9 hiki hapa mtu wangu, ‘Shauri Zao’ (Video)
Belle 9 ni staa wa Bongo Fleva, ni moja ya majina ya mastaa wachache ambao hata kama hawajatoa ngoma mpya au midundo yao haisikiki On Air, bado jina lake kwenye…
Magazeti ya Tanzania Septemba 19, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Septemba 19, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Umeme ndio basi tena Tanzania? gesi iliyosubiriwa imeanza kufanya kazi?
Good news ninayotaka kukusogezea nii kutoka Tanesco ambapo Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene September 18 2015 aliongea mbele ya Waandishi wa habari kuhusu mradi wa bomba la gesi na…
Maamuzi ya UKAWA baada ya chama pinzani kukiuka taratibu za kisheria….
Ni headlines za Uchaguzi mwaka 2015 ambapo leo Sept 18, Mwanasheria wa CHADEMA ambaye ni mkuu wa idara ya Uchaguzi kwenye sheria,Bw.John Mallya alifanya mkutano wa kuzungumza na waandishi wa…
Kauli za wasemaji wa Simba na Yanga kuhusu mechi za Ligi Kuu kuchezwa saa 9 alasiri (+Audio)
September 18 ni siku ambayo headlines za Bodi ya Ligi kutaka kubadilisha muda wa kuanza kwa mechi za Ligi Kuu soka Tanzania bara zilizidi kuchukua nafasi kwa kila mdau au mshabiki…
Rais wa klabu ya Real Madrid ya Hispania kafanya hili kwa wakimbizi hawa kutokea Syria (+Pichaz)
Rais wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Florentino Perez ambaye amezoeleka kuingia katika headlines kwa masuala yake ya kufanya usajili mkubwa kwa wachezaji ambao klabu yake inawahitaji, huenda umezoea kumsikia katika…
Ninazo pichaz mpya za Anthony Martial wa Man United akienjoy na familia yake ndani ya jiji la Manchester
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayekipiga katika klabu ya Manchester United ya Uingereza Anthony Martial amepigwa picha na mapaparazi akishuka katika teksi akiwa pamoja na mkewe Samantha huku amembeba mtoto…
Milango ya Cinema iko wazi leo Dar es salaam, movie zinazoonyeshwa nimekuwekea hapa na Trailer
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ratiba ya movie na Trailers zake nimekuwekea hapa mtu wangu. Location ni Mlimani City-Cinema…
Mpya ya Willow Smith imekupita? ‘Why Don’t You Cry’ imenifikia na video yake ipo hapa tayari! (Video).
Willow Smith kwenye headlines za burudani... baada ya kukaa kimya kwa muda kidogo msanii huyo mwenye miaka 14 amerudi tena na kama kawaida na burudani nyingine! Wimbo wake mpya unaitwa…
Ndoa imefungwa fastafasta Beach, mtu na mpenziwe.. waalikwa ni watu nane tu !! (+Pichaz)
Ronke na Lawson wamependana? Love yao hawakutaka masuala ya kusumbuana na ndugu masuala ya michango, vikao vya Harusi, kujaza watu Ukumbini.. wao kila kitu kimefanywa simple tu yani. Jumapili ya…