Picha 12 kutoka mitaa ya Japan baada ya kutokea mafuriko makubwa…
Tanzania ni moja ya nchi zilizowahi kushuhudia maafa ya mafuriko, uharibifu mkubwa kuanzia kwenye makazi ya watu, miundombinu pamoja na watu kufariki ni matukio ambayo kila ikitokea mafuriko basi lazima…
Aunt Ezekiel na Ray wamehamia CCM ?, Steve Nyerere kayazungumza hapa…
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi aka Ray kuondoka UKAWA na kuhamia chama cha…
Magazeti ya Tanzania Septemba 15, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 15, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Chris Brown awashambulia TMZ na kumsema mwanzilishi wake…!!
Wasanii wengi wa Marekani sio washabiki wakubwa wa website ya TMZ na mmoja ya wasanii hayo ni R&B Superstaa Chris Brown. Chris Brown amekuwa akisikika sana akiwashambulia TMZ kwa taarifa…
Lil Wayne na Christina Milian waachana..!? Sababu? Ninayo yote hapa…
Baada ya kuachana na mchumba wake miaka miwili iliyopita mwimbaji wa R&B Christina Milian alianza kuonekana sana na rapper Lil Wayne baada ya kujiunga na lebo ya msanii huyo, muda…
Picha 12 za mgombea ubunge wa jimbo la Kinondoni akitoa sera kwa wananchi…
Ziara za wagombea nafasi za Ubunge kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania bado inazidi kuchukua kasi,upande wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea wa ubunge Idd Azan Sept 13 alikuwa akizungumza na…
Kwa nini nyimbo nyingi za Drake ni za mapenzi na wanawake…?! Lil Wayne atoa hizi sababu.
Rapper maarufu kutokea kwenye kundi la Cash Money Records Lil Wayne ndiye aliyehusika kwa asilimia kubwa sana kikigundua kipaji cha rapper Drake na kumleta kwenye lebo yake ya Young Money…
Kutana na pichaz nje mpaka ndani ya hoteli ambayo imetengenezwa kwa mchanga mwanzo mwisho !!
Biashara ya utalii ingekuwaje kama Hoteli nyingi zingekuwa zimejengwa kwa mchanga!? Vitu kama umeme na maji vingekuwa vinapatikana kweli? Nimekutana na stori moja kutoka Netherlands inayoweka headlines nyingi sana kwenye…
Maneno ya Young Dee kuhusu kufananishwa na msanii wa Nigeria, tutegemee collabo?, stori iko hapa
Usishangae sasa hivi kuona Young Dee amefanya collabo na msanii kutokea Nigeria hitmaker wa single ya My Woman Patoranking. Akizungumza na ripota wa millardayo.com Young Dee alisema...'Hii ni connection kutokana…
Ninazo picha 13 za mwigizaji Frank alivyofanya mkutano wa kuzungumza na wananchi jimbo la Tabata Segerea
Kasi ya Wanasiasa kuzungumza na wapiga kura wao kwa sasa ndiyo stori ambayo inazungumzwa karibu kila kona ya Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Good news ninayotaka kukusogezea ni…