Weekend hii Juicy J anaisogeza kwako ‘Miss Mary Mack’ .feat. Lil Wayne & August Alsina. (Video)
Juicy J amerudi tena kuziandika headlines kwenye kurasa za burudani, baada ya kupotea kidogo rapper huyo amerudi tena kutupa burudani na video ya ngoma yake mpya kabisa. Wimbo unaitwa 'Miss Mary…
Hapa ni Beyonce na Jay Z wake, pembeni Kelly Rowland na mume wake.. Full kuenjoy ndani ya Italy.. (Pichaz)
Beyonce na Kelly Rowland ni mastaa waliotengeneza Historia na kuwa ndugu wa karibu ambao wamelelewa kwenye familia moja tangu utotoni... kiukweli wao ni moja ya mifano ya mastaa ambao wanapendana kwelikweli.…
StoriKubwa >>> Mufti mpya Tanzania, waangalizi Uchaguzi Mkuu 2015.. Lowassa, CCM.. Magufuli? Kipindupindu Dar? (Audio)
Ijumaa September 11 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti redioni @CloudsFM, kama hukuweza kusikiliza uchambuzi wa magazeti asubuhi hii karibu uzipate zile kubwa zilizogusa vichwa vya habari Tanzania. BAKWATA yampitisha Sheikh Abubakar…
Jay Z na Beyonce ni wapangaji, nyumba yao imeuzwa.. wanahama lini? Zimebaki siku hizi hapa…
Ndani ya Los Angeles Marekani, Rapper Jay Z na mkewe Beyonce pamoja na mtoto wao Blue Ivy ni wapangaji kwenye mjengo ambao taarifa ikufikie kwamba mjengo wenyewe kumbe tayari umeuzwa…
Kumbe TV ya Soundcity Nigeria haipigi Video za P Square? Peter kayaandika haya, wenyewe wamejibu !!
Kuna kitu kingine nimekifahamu leo baada ya Peter Okoye, mmoja ya mapacha wanaounda Crew ya P Square kuandika kuhusu ishu ni Kituo cha TV cha Soundcity kuacha kupiga nyimbo zao !! Kuna ukweli…
Milango ya Cinema iko wazi leo Dar es salaam, movie zinazoonyeshwa nimekuwekea hapa na Trailer
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ratiba ya movie na Trailers zake nimekuwekea hapa mtu wangu. Location ni Mlimani City-Cinema…
Magazeti ya Tanzania Septemba 11, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Septemba 11,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote…
Serena hakufurahia kumshinda dada yake? Jibu kalitoa kwenye kipisi cha video hapa
Ushindi ni furaha, ushindi ni kitu kizuri… Serena Williams ni staa wa Mchezo wa Tennis, siku chache zilizopita aliibuka na ushindi mzuri kwenye Michuano ya US Open, baada ya kumshinda…
Ninazo nchi 10 zinazoongoza kwa rushwa Duniani….
Najua nina watu wangu wanataka kufahamu ni nchi ipi inayoongoza kwa rushwa duniani, sasa basi leo nimekusogezea nchi 10 zinazoongoza kwa rushwa duniani; nafasi ya kumi ni Eritrea Nafasi ya…
Huyu ndio Rais mwenye umri mdogo zaidi duniani….
Wakati headlines za Uchaguzi sasa zikuchukua nafasi kuanzia kwenye Magazeti, TV, Radio na sehemu nyingine za kutolea habari sio mbaya ukifahamu pia kuhusiana na Rais ambaye anatajwa kuwa na umri…