Ikufikie hii taarifa kuhusu utaratibu wa kutangaza Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015.. (Audio)
Tukiwa bado tuko kwenye headlines za Uchaguzi Mkuu Tanzania 2015 najua nina watu wangu mnaotaka kufahamu kuhusiana na yale masanduku ya kupigia kura au mchakato wa kupigia kura, sasa hivi…
Serena Williams kuwa nje ya uwanja kwa mwaka mzima.
Mcheza tennes maarufu duniani kwa ubora Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha. Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya…
Weekend hii Rick Ross anaileta kwako ‘Money Dance’ feat. The Dream. (Video).
Boss wa Maybach Music Group (MMG) Rick Ross anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani, kwa wiki kadhaa sasa rapper huyo amekuwa akiachia nyimbo mpya kila wiki zote zikiwa zinatoka kwenye…
Magazeti ya Tanzania Octoba 2, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Octoba 2, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Cristiano Ronaldo kujiunga Ligi Kuu Marekani? hii ni mipango ya klabu inayomuhitaji..
September 10 mwaka huu alinukuliwa Rais wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Florentino Perez kuhusiana na stori za klabu ya PSG ya Ufaransa kuhitaji kumsajili Cristiano Ronaldo akitokea Real Madrid.…
Matokeo ya mechi ya Liverpool Vs FC Sion yapo hapa (+Pichaz&Video)
Oktoba 1 mechi za UEFA Europa ziliendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya, kama ambavyo imezoeleka kwa mechi za klabu Bingwa Ulaya huchezwa kati kati ya wiki…
Neymar wa FC Barcelona kwenye headlines na gari ya milioni 600 (+Picha)
Hii imekuwa kawaida kwa wanasoka wengi barani Ulaya kupenda kununua magari ya kifahari kutokana na mahitaji yao lakini hii huchangiwa na mishahara yao mikubwa wanayolipwa na vilabu vyao. Mapema mwaka…
Nimekusogezea picha 22 za mkutano wa UKAWA katika jimbo la Kawe Dar es Salaam…
Toka tarehe 29 August ulipofanyika uzinduzi wa kampeni Ukawa bado wameendelea kusogea sehemu mbali mbali za kuwafikia wananchi na leo Octoba 1, 2015 ilikuwa ni zamu ya wakazi wa jimbo…
Baada ya kushuka mara kadhaa katika viwango vya FIFA, Tanzania yapanda kwa nafasi hizi…
Tanzania kwa miezi ya hivi karibuni ilitangazwa kushuka katika viwango vya FIFA kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu katika mechi kadhaa, ikiwemo katika mechi za kuwania kufuzu kucheza michuano ya…
Omarion ataja jinsia ya mtoto wake wa pili anayemtarajia..
Mwimbaji wa R&B Omarion na girlfriend wake wa siku nyingi Apryl Jones wanatarajia kupata mtoto wa pili hivi karibuni. Wawili hao ambao ni wazazi wa mtoto mmoja wa kiume aitwaye Megaa…