Nimekusogezea list ya nyumba 15 za mastaa zilizoongoza kwa ufahari hadi kufikia Nov.2013
Mastaa wengi wamekuwa wakijituma katika kazi zao ili kuhakikisha wanaishi maisha ya kifahari kulingana na kazi wanazofanya., wengi huwekeza zaidi katika majumba ya kifahari, magari na hata wengine katika biashara.…
Hizi ni safari ndefu zaidi za Ndege Duniani, unakaa mpaka saa 17 angani mtu wangu.. (+Pichaz)
Unaweza ukaona safari ya kutoka Mwanza mpaka Dar es Salaam ni ndefu kwa sababu unatumia kati ya saa 12 mpaka 16 ndani ya basi, lakini kwa Usafiri wa Ndege ni…
Selfie nyingine iliyosababisha kifo cha mwanafunzi huyu..
Bado matukio ya watu kupoteza maisha kutokana na upigaji wa picha za Selfie yameendelea kuripotiwa kila siku. Hii nyingine ni mwendelezo wa matukio hayo ambapo huko Russia kuna mwanafunzi mmoja…
Umeisikia hii mpya ya Young Thug; ‘Power’? Video yake imenifikia… (Video)
Young Thug anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani, baada ya kuachia video ya wimbo wake wa 'Best Friend' mwanzoni mwa mwezi huu rapper huyo amerudi na nyingine mpya kutoka kwenye…
Jay Z anafurahia mafanikio yake mtu wangu, apost ujumbe huu Twitter…
Rapper na Mfanyabiashara Jay Z anasababu nyingi za kusherekea matunda anayozidi kuvuna kupitia biashara zake za kimuziki... baada ya watu wengi kulalamika kuwa application ya TIDAL ya rapper Jay Z…
NEC na Uchaguzi Mkuu, Rais ndani ya masaa 72, CCM na Mwananchi, Mahujaji 112 warudi Tanzania, wengine? (Audio).
Asubuhi ina mambo mengi na pengine uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita, ninazo hapa chini zile kubwa kubwa za leo zilizosikika redioni, kama zilikupita unaweza cheki na hizi nyingine kufidia. Mahujaji…
Chris Brown anajutia makosa yake baada ya kuzuiwa kuingia Australia? Kayaandika haya..
Kesi ya Chris Brown kumpiga mpenzi wake wa zamani itabakia kuwa moja ya makosa ambayo Chris Brown anajutia sana kuyafanya... story ambayo iligusa Vichwa vya Habari kwenye Entertainment ikiwa na…
Magazeti ya Tanzania Septemba 30, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 30, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Tayari ninazo video za magoli ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mtu wangu…
September 29 michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya iliendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, miongoni mwa mechi zilizovuta hisia za watu wengi ni mechi ya Arsenal dhidi…
Hii ndio adhabu aliyoipata Juma Nyoso baada ya kumfanyia kitendo cha kidhalilishaji John Bocco…
Jioni ya September 27 ilikuwa ni siku ambayo wadau wengi wa soka walikuwa wakijadili kuhusiana na tukio la kidhalilishaji, lilitokea katika mechi ya Azam FC dhidi ya Mbeya City, mechi…