Mazoezi ya kunyanyua vyuma yapelekea kifo cha kijana huyu baada ya moyo wake kupasuka…
Imekuwa kawaida kwa vijana wengi siku hizi kupenda kunyanyua vyuma ili kujenga mwili wenye misuli mikubwa na muonekano mzuri. Utamaduni wa kubeba vitu vizito ili kujenga mwili wenye muonekano flani…
Time ya kujionea mbwa nao wakiwa kwenye nyumba zao mtu wangu.. Pichaz &Video
Mara nyingi ukiona Family za Wazungu, utamaduni wao ni kwamba kuna baadhi ya wanyama ambao nao wanawahesabia kama sehemu ya Familia zao, na baada ya wanyama hao ni mbwa na…
Nicki Minaj na Meek Mill ni wapenzi… je mama yake Nicki anauonaje uhusiano wao?
Nicki Minaj ametoka kumaliza tour yake ya The Pinkprint Tour Marekani siku chache zilizopita na kote huko alikuwa anatembea na mpenzi wake Meek Mill... Siku chache zilizopita Nicki na Meek Mill…
Baada ya stori nyingi kuhusu Ndoa ya Arsene Wenger kuvunjika, haya mengine yameandikwa leo
Baada ya zile tetesi za muda mrefu kuhusiana na kocha wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger kutokuwa na maelewano mazuri na mkewe Annie, stori kutoka mtandao wa mirror.co.uk umethibitisha kutengana kwao,…
Kutoka Makao Makuu ya CCM Dar, majibu yametolewa.. Magufuli na Mdahalo? Utafiti wa TWAWEZA?
Kutokana na ukubwa wa Tukio la Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania siku ya Jumapili October 25 2015, stori zinazohusu Siasa zinakuja kila siku…
Nuh Mziwanda katelekeza msichana Guest? Stori kwenye #UHeard na Soudy Brown.. (Audio)
Kama kawaida ya Soudy Brown amekuwa akituletea tetesi za mastaa mbalimbali zinazohusiana na matukio mbalimbali wanayokutana nayo..leo ni Nuh Mziwanda..Kuna dada kampigia simu akilalamika Nuh kumdhalilisha mdogo wake kwa kumuacha…
Yemi Alade tayari katusogezea video yake mpya ya ‘Sugar’….
Jana hitmaker wa mdundo wa 'Johnny' Yemi Alade alitusogezea Pichaz za behind the scenes ya ngoma yake mpya inayoitwa 'Sugar'. Leo staa huyo tayari katusogezea video ya ngoma yake hiyo mtu wangu..Video…
Ben Pol kaitema lebo yake? Uvamizi wa Kwetu Studio je?, Mb Dog kaja na documentary yake..#255
Ben Pol alikuwa akisimamiwa na kampuni ya Pan Music lakini, leo amefunguka na kusema amesitisha huduma na kampuni hiyo..aliongea nao wakazungumza kwa kipindi walichofanya kazi na akaomba kuandika barua ya…
Baada ya msimu mbovu Liverpool Balotelli kafunga goli umbali wa mita 27..(+Pichaz&Video)
Baada ya kuwa na msimu mbovu katika klabu ya Liverpool uliyopelekea kutoitwa katika timu yake ya taifa ya Italia Mario Balotelli ameanza kurudi katika ubora wake baada ya kufunga moja…
Hekaheka leo na stori ya Mzee kufanyiwa unyama baada ya kulewa… (Audio)
Kwenye hekaheka ya leo tukio limetokea Dar es Salaam, ambapo mzee mmoja amefanyiwa vitendo vya kikatili na vijana ambao alikwenda nao kunywa pombe. Mzee huyo amesimulia ilivyokuwa, amesema siku chache…