Steven Gerrard ni mbaguzi wa watu weusi? kauli yake hii yamshangaza EL Hadji Diouf…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal na klabu ya Sabah ya Malaysia EL Hadji Diouf ameingia kwenye headlines baada ya siku kadhaa nyuma kuandikwa katika kitabu kipya cha kiungo wa kimataifa wa…
Kauli ya katibu mkuu wa Yanga kuhusu Cannavaro kuonyesha kumsuport mgombea Urais (+Audio)
Headlines za uchaguzi mkuu 2015 bado zinazidi kuchukua nafasi, tumekuwa tukiona watu maarufu kama wasanii wa filamu na Bongofleva wakionyesha hisia zao kwa wagombea wawapendao. Ila kwa wachezaji mpira wa…
Haya ni matokeo ya mechi zingine za Ligi Kuu Tanzania Bara September 16
Matokeo ya mechi zingine za Ligi Kuu Tanzania bara kama yamekupita mtu wangu ninayo hapa, klabu ya Mgambo JKT imepokea kipigo cha goli 2-0 toka kwa klabu ya Simba SC katika uwanja…
Kama yalikupita matokeo ya Maji Maji FC Vs Kagera Sugar yapo hapa (+Pichaz)
Ikiwa michezo kadhaa imepigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania, klabu ya Maji Maji FC ya Songea ilikuwa mwenyeji wa timu ya Kagera Sugar kutoka Kaitaba Bukoba. Huenda ukawa umepata nafasi ya…
Teknolojia inatupeleka huku sasahivi, smartphone inajaa chaji kwa dakika 35 mtu wangu… (Pichaz & Video)
Watumiaji wa smartphones wakae tayari kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya…
Haya ni matokeo ya mechi ya Yanga Vs Tanzania Prisons (+Pichaz)
Kama kawaida Jumatano ya September 16 kulikuwa na muendelezo wa mechi za Ligi Kuu soka Tanzania bara kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti. Team ya millardayo.com inakupa nafasi ya…
Collabo nyingine ya DJ Neptune aliyomshirikisha Davido na Del B…(Video)
Dj Neptune ameachia video yake mpya 'So Nice' ndani akiwa amewashirikisha Davido pamoja na Del B. Video ya ngoma hiyo imefanyika Lagos, Nigeria na imeandaliwa na Mex Film. Nakukaribisha hapa…
Pale ambapo ubunifu unasababisha ajikute Mikononi Polisi, saa ikafananishwa na Bomu…
Ahmed Mohamed ni kijana wa miaka 14, alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanya ubunifu ambao yeye alidhani itakuwa ni kitu kizuri kuwafurahisha Walimu wake, lakini baada ya kuwaonesha tu…
Taarifa ikufikie ya bondia kufariki baada ya pambano kumalizika..
Bondia Davey Browne ambaye ni raia wa Australia amepoteza maisha siku nne baada ya kupoteza fahamu kufuatia kipigo cha 'knock out' katika pambano la ngumi huko Sidney. Mwanamasumbwi huyo mwenye…
Pichaz za mwanzo kutoka uwanja wa Taifa na first eleven ya Yanga Vs Tanzania Prisons vipo hapa…
Ligi Kuu soka Tanzania bara kuendelea tena September 16 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali, Bingwa mtetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara Dar Es Salaam Young African anarudi…