Huku Mr.Flavour kule P. square kwenye hii Video ‘Sexy Rosey’…
Staa wa Nigeria Mr.Flavor amewashirikisha mastaa wawili mapacha wanaounda kundi la P square katika video yake mpya inayoitwa 'Sexy Rosey'. Video imeongozwa na Godfather. Nakukaribisha hapa kuitazama. https://www.youtube.com/watch?v=-6ZRNag3Zd0 …
List ya wachezaji watano ambao hupaswi kuwaamini mbele ya Girlfriend wako..
Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa bleacherreport.com iliwahi kutoa ripoti ya wachezaji kadhaa ambao hupaswi kuwaamini kwa mpenzi wako. Hadi kufikia mwezi October mwaka 2011 hawa ndio wachezaji waliyokuwa…
Mke mwingine wa Dr.SLAA afunguka,TZ bila Nyumba za nyasi,rafu za UKAWA,mabango ya LOWASSA..#StoriKubwa
NIPASHE Viongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, wamekemea wagombea wa vyama vya siasa wanaotumia lugha za kashfa katika kampeni hali inayoweza kutishia uvunjifu…
Ratiba ya michuano ya AFCON 2017 Weekend hii ipo hapa mtu wangu..
Hatua ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON2017) kundelea weekend hii katika viwanja tofauti tofauti barani Afrika, Nimeona nikusogeze na ratiba ya mechi za Septemba 5 na 6 za…
Ni Belle Nine tena,kwenye kionjo cha video yake Mpya…
Soko kubwa la wasanii wa Tanzania kwa sasa wanajitahidi sana kuwekeza upande wa video na kiukweli mabadiliko yanaonekana kabisa namna ambavyo wasanii wetu wanavyotumia gharama kwenye muziki huu ambao kwa sasa…
Magazeti ya Tanzania Septemba 5, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Septemba 5,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote…
2 Chainz karudi na nyingine mpya; ‘Everything I Know’ – (Video).
Baada ya kuachia 'Lap Dance in the Trap House' na 'Neighborhood' kutoka kwenye mixtape yake mpya 'Trapavelli Tri', 2 Chainz anaziandika headlines jumamosi hii na wimbo mwingine mpya. 'Everything I…
Shabiki wa Juventus amefanya hivi kwa ajili ya Juan Cuadrado kujiunga na klabu hiyo…
Winga wa kimataifa wa Colombia na klabu ya Chelsea Juan Cuadrado ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo katika klabu ya Juventus ya Italia, shabiki wake kafanya jambo hili la kuvutia baada ya…
Du!!! familia ya David Beckham inamuhesabu Olive kama sehemu ya familia…
Mke wa mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Victoria Beckham amemuonyesha Olive na kuandika huku akijivunia kuwa ni sehemu ya familia yake. Olive…
Baada ya Fabrice Muamba kuachana na soka kwa matatizo ya moyo, Vipi kwa Jack Sock?
Ugonjwa wa moyo ni ugonjwa ambao unawasumbua watu wengi, kwa wanasoka ugonjwa huu mara nyingi hufanya wastaafu soka ili kulinda maisha yao, iliwahi kumtokea uwanjani Fabrice Muamba wakati anachezea klabu…