Picha 30 za mwanzo kutoka Jangwani katika uzinduzi wa kampeni za CCM 2015
Tanzania imeingia katika mwaka wa uchaguzi na hivi karibuni kila chama cha kisiasa kilichoamua kusimamisha mgombea wa kugombea nyadhifa mbalimbali za kisiasa vinajiandaa kuzindua kampeni zake rasmi. August 23 ni…
Nilivyoyanasa kwenye video magoli ya Yanga vs Azam FC August 22 2015
Timu nyingine mbili maarufu kwenye ligi kuu ya Tanzania bara, Yanga na Azam FC zilikutana kwenye mechi uwanja wa taifa Dar es salaam August 22 2015 ambapo game iliishia kwenye…
Kuna haya madaraja ya gharama zaidi kujengwa yasikupite mtu wangu…Pichaz
Daraja la Kigamboni ambalo kwa sasa ujenzi wake unaendelea huenda likaingia kwenye rekodi ya madaraja makubwa Afrika Mashariki. Lakini ukuaji wa teknolojia duniani hasa sekta ya miundombinu imeendelea kukua zaidi…
Manchester United haifungiki.
Ukiwa umepita mwaka mmoja tangu Manchester United ilipoanza kuwa chini ya kocha Mdachi Louis Van Gaal dalili za kocha huyo kuanza kuielekea njia ya mafanikio zimeanza kuonekana baada ya timu…
Baada ya Pedro Chelsea yamsajili nyota huyu kutoka Brazil
Klabu ya Chelsea ya Uingereza ambayo hadi hivi sasa bado imewekeza nguvu nyingi za kusajili ili kuboresha kikosi chake na kulinda ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza ambao wenyewe ndio Mabingwa…
Hukumu ya waliompasua mwenzao fuvu,mke auawa ofisa za BAKWATA na SUMAYE rasmi UKAWA…#StoriKubwa
MWANANCHI Miezi kadhaa baada ya treni ya kubeba abiria jijini Dar es salaam kusitisha safari zake kutokana na ubovu, imeelezwa kuwa hali hiyo inatokana na uchakavu wa injini. Mkuu wa…
Tayari ninazo #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 7 ya Tanzania August 23, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita,…
Hizi ndio stori kwenye kurasa za mbele na za nyuma Magazeti ya Tanzania August 23 2015..
Jumapili August 23 2015 nachukua time hii kukuunganisha tena na stori kwenye Magazeti ya Tanzania, stori kubwa kwenye Hardnews, Dini na Michezo unaweza kuzipitia hapa kwenye kurasa za mbele na…
Haikuwa rahisi kumpata mshindi wa TMT na sasa imefikia mwisho
August 22 imetoa jibu kamili la Tanzania Movie Talent (TMT) na zawadi ya million hamsini kwa mshindi wake kituambacho kilikuwa ni kidendawili kikubwa kwa wafuatiliaji wa TMT na wapigakura…
Ninayo Top 10 ya rekodi za ada kubwa za usajili wa wachezaji kwa muda wote.
Kila mwishoni mwa msimu wa Ligi mbalimbali duniani vilabu husika huwa na utamaduni wa kuanza kufuatilia wachezaji sahii watakao ongeza nguvu katika vilabu vyao na namna ambavyo watawapata. Siku hizi…