Kuna hizo Hotel za kifahari zipo katikati ya ya maji nimekusogezea hapa…(Pichaz)
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nimekutana na hizi hoteli zenye mvuto zaidi dunini ambazo zimejengwa ndani ya maji mtu wangu. Unaweza kuzitazama na kuniambia ipi imekuvutia zaidi.. …
Kifaa kipya toka FC Barcelona ndani ya jezi ya Chelsea
Habari nyingi kwa sasa katika michezo ni kuhusiana na usajili wa wachezaji mbalimbali ndicho kitu kinacho weka headlines kubwa katika vyombo vya habari, ilikuwa ni kuhusiana na Pedro Rodriguez kuhamia…
Msami kazungumzia safari ya Irene Uwoya Bungeni…#UHeard Audio)
Irene Uwoya baada ya kushinda vita maalum hakusikika kwenye vyombo vya habari akizungumza lolote juu ya ushindi huo...lakini Soudy Bown hakuridhika na ukimya wake akaamua kumtafuta mtu wake wa karibu…
Ninayo Ripoti toka China, hawa ndio waliokamatwa ndani ya mwezi mmoja kwa wizi mitandaoni ..!!
Bado kama wiki moja na nusu kushuhudia Sheria ya Kudhibiti Matumizi ya Mitandao Tanzania ikianza kufanya kazi rasmi kabisa, hiyo ni kutokana na taarifa rasmi kabisa kutoka Mamlaka ya Mawasiliano…
Nahreel kufungua chuo cha Production? Ukimya wa Juru? kurekodi Video au audio Kenya ni kiasi gani?.. #255 (Audio)
Producer mkali Bongo, Nahreel kumbe yupo kwenye mpango wa kufungua chuo cha Production ya muziki?? amesema mafunzo ya production yataanza hivi karibuni na yatachukua wanafunzi wengi ambao wanahitaji kujifunza mambo hayo. Nahreel…
Trevor Noah yupo tayari kurithi kiti cha ‘The Daily Show’. (Video).
Mchekeshaji kutoka South Africa Trevor Noah aliweka headlines kubwa sana Africa na dunia nzima miezi michache iliyopita baada ya yeye kutangazwa kuwa mtangazaji mpya wa kipidi cha comedy kiitwacho The…
Hawa ndio wachezaji watoto chini ya Miaka 15 watakaojiunga na Orlando Pirates ya Afrika Kusini..
Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Jamal Malinzi August 20 2015 ametangaza mpango wa kukuza soka la vijana na hii ni kama mrejesho wa mashindano yaliyofanyika Mwanza…
Matukio ya HekaHeka yaliyopita na mwendelezo wake yamesikika leo…(Audio)
Leo timu ya LEOTENA kupitia HekaHeka wamezungumzia matukio mbalimbali yaliyowahi kusikilizwa kupitia kwenye hekakeka baada ya kuombwa na wasikilizaji... Miongoni mwa Hekaheka ambazo wasikilizaji walitaka kujua mwendelezo wake ni pamoja…
Mengine kutoka Gerezani alikofungwa Oscar Pistorious… Hasira? chakula cha Sumu.. Choo na bafu? Michezo..
Toka Pistorius amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela ni October 2014, huenda yapo mengi yaliyoendelea ndani ya gereza na hukupata nafasi kuyajua… Kwa Sheria za South Africa ziko stori toka…
Sauti Sol hawapo nyuma na headlines za Burudani, wamekuja na ‘Shake Yo Bam Bam’…(Video)
Wakati 'Nerea' inaendelea kufanya vyema kwenye headlines za burudani, kundi la Sauti Sol limerudi tena kwenye headlines baada ya kuachia Video ya single yao mpya 'Shake Yo Bam Bam'. Video…