Ninazo tayari hizi #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 10 ya Tanzania August 19, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita,…
Orodha ya Wabunge CHADEMA.. Kamati ya kampeni CCM? Urais ACT Wazalendo gizani, TADEA je? #PowerBreakfast
Kwenye stori kubwa August 19 2015 kuna hizi kubwakubwa mtu wangu ambazo ziligusa pia Uchambuzi wa Redioni. CHADEMA yatangaza orodha ya wanachama wake watakaogombea Ubunge... Kamati kuu ya CCM yatangaza…
Magazeti ya Tanzania Agosti 19, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Agosti 19,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Exclusive ya pichaz 10 kutoka ndani ya Studio Nairobi Kenya, hapa ni Sauti Sol na Ali Kiba mtu wangu..
Usiku wa kuamkia tarehe August 19 2015 katikati ya Jiji la Nairobi Kenya, kuna kitu kipya kimegusa headlines za burudani East Africa... Sauti Sol ni wakali toka Kenya, Dunia inawajua…
Video ikionyesha Mabasi mapya ya kisasa Dar yalivyofanyiwa test kubeba abiria.
August 17 2015 yalitambulishwa rasmi kwa Watanzania mabasi yatakayo safirisha abiria kwa haraka zaidi kutokana na kupita kwenye barabara yake maalum, ni mradi ambao una miaka zaidi ya 10 toka…
On AiR with Millard Ayo: mtoto wa Mchungaji aliyevua taji, hatukumsikia toka kipindi hicho.
Angel Luballa ni miongoni mwa Watanzania walioongelewa kwenye headlines za Tanzania ndani ya wiki kadhaa na baadae kupotea kwenye headlines, hakuonekana wala kuongea kwenye Media kwa miaka mingi lakini hatimaye…
Mario Balotelli kaja na hii mtu wangu kwa ajili ya watoto
Mshambuliaji wa kimataifa wa Italia mwenye asili ya Ghana anayeichezea klabu ya Liverpool ya Uingereza Mario Balotelli ambaye amezoeleka kuingia katika headlines mbalimbali kuhusiana na tabia yake ya ukorofi na…
Tayari ninayo matokeo ya Man United Vs Club Brugge (Picha&video)
Ikiwa zimepita siku kadhaa tu toka Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya zianze August 18 imepigwa michezo kadhaa ya kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza katika hatua ya makundi ya Kombe la…
Mpaka mwaka 2013/2014 hizi ndio zilikuwa gari za Eto’o
Samuel Eto'o Fils ni mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayeichezea klabu ya Antalyaspor ya Uturuki, Eto'o ambaye amewahi kuingia katika rekodi kadhaa kama ya kuwa mchezaji wa kwanza anayelipwa mshahara mkubwa…
Orodha ya Wagombea Ubunge wa CHADEMA 2015 ndio hii imetoka!
Ni 2015 ambao ni mwaka wa uchaguzi, kila chama kinachukua headlines nyingi tu na kazi yangu mimi ni kukufikishia yote kwa ukamilifu wake ambapo hii post ni ya CHADEMA, wameitoa…