Pedro Rodriguez kaweka wazi msimamo wake, Kocha je? Namba yake kaivaa nani game ya Super Cup?
Namba ya siku Pedro atakazoendelea kukaa ndani ya klabu ya FC Barcelona zinahesabika baada ya Rafinha kupewa nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza kinachocheza na Sevilla katika Spanish Supercup. Pedro…
Japan kwenye headlines nyingine za teknolojia, unaambiwa kwa hii miwani hakuna camera inanasa sura yako !!
Japan wamekuja na style mpya ya kuwasiliana kupita mitandao, ni mawasiliano bila kuonana sura...ungependa kujua inakuaje? Japan National Institute of Informatics imekuja na teknolojia mpya ya miwani inayoitwa "Privacy Glasses".…
Doctor wa Chelsea bado mambo hayaeleweki, mengine ni haya baada ya kusimamishwa..
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho bado anaamini kuwa mkuu wa madaktari wa timu hiyo Eva Carneiro alifanya uzembe wakati wa kumtibia Eden Hazard kitu kilichopelekea Mourinho kuona kama anachelewesha…
Alilewa kazini, picha ikapigwa na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, kilichofuata ni stori nyingine!
Nimekutana na stori moja kutoka Nigeria ambako Polisi aliyekuwa kazini amekamatwa baada ya picha inayomuonyesha akiwa amelewa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii. Taarifa hiyo ilisambaa na kumfikia Mkuu wa Polisi…
Yanga na Azam FC wamewazuia wachezaji wao Taifa Stars, Mkwasa kafanya maamuzi haya
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Borniface Mkwasa ameamua kufanya maamuzi ya ziada baada ya klabu za Azam FC na Yanga kutowaruhusu wachezaji wake kujiunga na…
Stori 10 za AMPLIFAYA Agosti 11, 2015 kwako uliezikosa mtu wangu nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show inayosikika on Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku mpaka saa tatu ikihusika na utoaji wa habari kumi muhimu za siku, stori kubwa za kwenye…
Ridhiwani Kikwete kaweka hii picha ya Mbowe na kuyaandika haya
Ni stori ambayo imechukua headline kwa mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowejana Aug 10 2015 baada ya kumaliza harakati za kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya…
Hiki ndicho anachoamini Manuel Pellegrini kuhusu Yaya Toure
Kocha wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Manuel Pellegrini ana matumaini ya kupona kwa kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast Yaya Toure ambae alikuwa na wakati mgumu msimu uliopita…
Rais Jakaya Kikwete ametangaza mabadiliko haya ya Mabalozi…
Jioni ya Aug 11 Rais Jakaya Kikwete ametangaza mabadiliko ya Mabalozi kadhaa pamoja na Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Mabadiliko hayo yamenifikia pia mtu wangu na barua hiyo imeandikwa…
Hii ni idadi ya wasiomkubali Rais Kagame kuendelea kubaki madarakani…
Rais wa Rwanda Paul Kagame aliingia madarakani tangu mwaka 1994 na anatarajia kumaliza muda wake mwaka 2017. Gazeti ya News Times kupitia kwa wachambuzi wa kisheria limesema kuwa kati ya watu…